Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Habari wakuu,, juzi nilinunua samsung GT-E1190 vile vidogo vyaku flip kwenye supermarket moja..sasa ndani nimekuta kuna line ya UK mpya nikaachana nao,,nikaweka chip za kibongo hazifanyi kazi...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Ndugu wana jf naomba msaada wenu mimi nina Nokia X-01 mwanzo nilidownload whatsapp kwenye ovi store lakini ikatoke bahati mbaya nika restore simu kuanzia hapo app zote za jad hazikubali leo...
0 Reactions
9 Replies
11K Views
Wana jamvi laptop yangu aina ya Dell imeanguka chini na nilivoiwasha ikawa haitoi mwanga ila inawaka na unaweza kuitumia wakati wa mchana kukiwa na mwanga wa jua..sasa sijui tatizo hapo n...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu,zamani nilikuwa napata zaidi ya channel zinazorushwa na startimes kwa kuingiza namba flani manualy,sasa zinagoma,je ipo namna yakufanya ili niendelee kuzipata???
0 Reactions
24 Replies
4K Views
je ni jinsi gani. nitawe ku Root my Android phone nimejaribu kutumia Z4root, Eroot, easy root zimeshindikana Sasa nashindwa nifanyaje...! my phone is model :TECNO B3 version : 2.3.6
0 Reactions
4 Replies
2K Views
habari zenu wana jf. Natumia Samsung Omnia Pro b7330 ni window phone, window yake ni 6.5 standard ila nashindwa kuweka program kama whatsapp, viber na nyingine nyingi ambazo ni nzuri kwa...
0 Reactions
5 Replies
979 Views
jaman nime install whatsapp kwenye simu yangu., so kwenye ku-activate inaniambia ni put verify code, msaada ndo zp hzo verify code
0 Reactions
7 Replies
3K Views
Tumia mtandao wowote unaoupenda huku ukilipwa na Perfect Internet Tunatumia fb na mitandao mingine bila kulipwa hata senti tano. Kwa nini usijiunge na Perfect Internet ukapakua (download)...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
msaada kuungasha simu line airtel
0 Reactions
0 Replies
701 Views
Jamani mwenye uelewa wa hili naombeni ushauri wa kitaalamu. Nahtaj kutuma video yenye ukubwa wa 3.3 MB ina urefu wa dakika 7. Kila nkijaribu ku "attach" kwenye GMAIL inagoma na nilikuwa natumia...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
katika pitapita zangu nimefanikiwa kupata habari ya kifaa kama laptop kinachoitwa kobi kipo kama laptop ila kazi yake ni kuangalia cd. nataka niinunue kama unaijua tafadhali tujulishane kabla...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama topic inavyo jieleza, ambao mpaka sasa hawaja activate products zao chukueni hii. Updates: Mkuu NingaR katika pitapita nimekutana na hii update v8! , Nimeiweka hapa kwa manufaa ya wana JF...
4 Reactions
36 Replies
4K Views
Wadau, tafadhali nisaidieni, ni mashine gani nzuri ya kusafishia picha naweza inunua kwa kazi hiyo. Ikiwezekana na bei ni kiasi gani?
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Nina simu aina ya HUAWEI model U8185-1 nimeshindwa ku unlock msaada please
0 Reactions
2 Replies
817 Views
So one of your friends, “not you of course”, has managed to nuke Internet Explorer and they are unsure how they did it. You’ve eliminated the possibility of viruses and adware, so this just leaves...
0 Reactions
0 Replies
610 Views
Wanajamvi,heshima yenu. Naomba kufahamishwa kwa yeyote anayefahamu mechi ya yanga na simba ni chanel gani itairusha live? Nawasilisha.
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Naomba mwenye ufahamu mzuri katika hizi hizi accounting packages anishauri ipi ninunue. Kwa ajili ya matumizi ya Ngo ambayo inapata funds toka nje. Urahisi kutumia/kujifunza, wingi wa modules...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Msaada wadau nataka kubalili rangi za folders kwenye bookmark bar kama inavyoonekena.
0 Reactions
1 Replies
815 Views
Ubuntu 13.10 Saucy Salamander released with a new smartphone experiance . just try it out if you have a an androind smartphone Instructions for flashing a phone or tablet device with...
0 Reactions
1 Replies
826 Views
Yani ndo nimeopoa kitu cha Samsung galaxy s duos, msaada jinsi ya kuconfigure na internet na kupata mengineyo kama watsup, viber na mengineyo mazuri
0 Reactions
0 Replies
729 Views
Back
Top Bottom