Hatimaye Blacberry wameamua kuizindua application yao ya BBM ambayo sasa itakuwa ikipatikana kwenye Android na iPhone. Kwa sasa application hiyo haipatikani kirahisi kwenye store za Android na...
naombeni msaada jaman nikitaka kufuta,kuformat na kupest
file lolote katika flash yangu inanambia
this action can not be done the disk is write protected
msaada plzzzzzzzzzzzzzzz
Habari wadau
Wiki iliyopita niliibiwa laptop yangu lakini nilisikia kuna namna au wataalamu wanaoweza kui-trace mara tu ikiunganishwa online, je nitawapata wapi hao wataalam hapa Dar?
1st Fully Bionic Man Walks, Talks and BreathesHe walks, he talks and he has a beating heart, but he'snot human he's the world's first fully bionic man.Frankenstein's monster,cobbled together...
habarini za sahizi? poleni na majukumu,ndugu zangu samahanini nimesahau zile ussd kwa ajilibya kuweza kutambua simu original yenye teknologia ya android sinakumbukumbu nzuri ya hiyo kitu...mwenye...
Habari wakuu nimekuwa nikijiuliza hili swali siku nyingi: hivi hizi simu za samsung ambazo zipo cloned,ni kitu gan wanacho-clone? Ni OS au hardware? Kama ni OS je ukitoa iliyomo ukaweka ambayo sio...
wakuu nakuja mbele zenu nikiwaomba mnisaidie ni aina gani ya digital camera ni nzuri. Ili nitakapo enda dukani nisiingie mkenge.
pamoja na hilo si vibaya mkiweka na bei ya camera hiyo...
I think Microsoft is making one step forward and two steps backwards. This is especially so after they released Microsoft Windows8 in the recent past. In my own opinion, Windows7 is far much...
naomba msaada nina Samsung external hard drive ilikua inafanya kazi vizuri ila ghafla nikiichomeka kwenye computer haisomi wala kuonyesha dalili zozote za kufanya kazi, haiwaki mwanga kama awali...
Tigo sasa majanga matupu;usilogwe utume hela yako kwa tiGO-pesa utakatwa ujute. Kwa sasa tiGO-pesa wanakata takribani shilingi mia kwa kila elfu moja utoayo. Siku nne mfululizo nimeshuhudia tiGO...
After a bit of rough times it seems things are finally looking up for Nokia and the Windows Phone platform in general. According to The Wall Street Journal, the company managed to sell "at least...
Firefox OS is a mobile operating system based on Linux and Mozillas Gecko technology, whose environment is dedicated to apps created with just HTML, CSS, and JavaScript.
After almost two years...
Kitu bbm for iphone na android kimetoka rasmi leo. Check bbm.com ila kwa sasa ni kwa wenye samsung tu na baadae tarehe 25 itapatikana kwenye platform zote:D:eek:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.