najua wengi humu tunatumia cm za android, kama samsung, htc na hata huawei, lakini tatizo kubwa za hizi cm ni ukaaji wake wa charge, sasa je kuna battery za kutoka makampuni mengine kama nokia na...
Imeleak masaa machache yaliyopita, me ndo naishusha now ila kwa wale wengine walio fasta mnaweza anza ishusha hapa
https://kickass.to/microsoft-windows-8-1-rtm-x86-iso-thumperdc-t7794577.html
nauza external dvd/cd drive ina speed kali katika kusoma cd na dvd pia ina uwezo mkubwa wa kuburn CD....mashine imetumika for only 3 weeks....bei ni maelewano-
MY CONTACTS; 0718164448
NINA HUAWEI U8650 IMEHARIBIKA COLLECTOR INAYOPOKEA MKANDA WA KIOO...NATAFUTA MTU AMBAYE ANA CIRCUIT YAKE ILI NILIPLACE YANGU...AWEKE BEI TUELEWANE:help:
helo wana jf na wana IT,nina tatizo kidogo hapa kuna baadhi ya video za youtub zinahita nifanye linking ya acount yang na you tube.
2.nashindwa kudownlod picha za instagram.ni hayo tu wakuu.
MAKALA: ELECTRICAL TIPS
Habari wanajukwa kwa kipindi kirefu nimekuwa na nia ya kushare na na nyie kile nachokifahamu kuhus fani yangu ya UMEME .. ambacho kwa namna moja au nyingine kinaweza kuwa...
Wakuu habarini za kazi, ninaomba msaada namna ya kukopi picha za jpg zilizoambatanishwa ndani ya document ya microsoft word nimejaribu kila mbinu ninayoijua kuzicopy nimeshindwa nime right click...
Tafadhali tizama file niliyo-attach.
Hii nimeweka formula ya kupata net kama uko na Gross Salary.
Naomba msaada wa kupata Gross kama niko na net, (with formulas please)
stay blessed.
Natanguliza shukurani kwenu wadau ,binafsi yangu sijawahi kutumia simu aina ya htc hivyo sijui jinsi ya kutofautisha clone na real one .kwa anayejua anijuze
Habari members! naomba kufahamishwa namna ya kufanya kuwaondoa virus kwenye external had disc. Ni auto run alafu mafaili yote yamejitengezea folder ambazo kila nikideleat au kuscan zinajirudia...
Naombeni msaada wakuu simu yangu aina ya Sumsung 8300 touchscreen sasa hivi nikiweka line inadai niingize SIM password
wakati mwanzoni ilikuwa inafanya kazi vizuri kabisa!
Naombeni msaada...
Hi to all,
Jamani kila nikiingia website hii www.mashambaviwanja.info naambiwa haipo hewani na kuletewa error kama inavyosomeka hapa chini, je kwako inaonekana au ni kwangu tu?
Msaada tafadhari...
Hi members!
Let us share this article.
The Lake That Turns Animals That Touch It Into Statue-Like Creatures
Click here to see these photographs that look like dusty statues!
The Lake That...
Sikuwahi kutumia simu ya blackberry mpaka hivi karibuni nilipoletewa zawadi ya blackberry 9900 na rafiki yangu.
Kiukweli sikuwahi kufikiria kama blackberry inaweza kuwa simu nzuri. Nimewahi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.