Salam kwenu wana JF.
Leo nimezungukia huku nataka kutoa kaintro kwa wale wapenzi wa Programming.
Tutatengeneza Windows Phone 8 App Step kwa Step.
Mahitaji:-
Unatakiwa uwe na computer 64bit na...
Dunia tunayoishi, inaweza kufikia mwisho wake August 26, 2032. Kwa mujibu wa wanajimu wa Ukraine, kimondo chenye upana wa futi 1,300 kinakuja kwa uelekeo wa duniani na kinaweza kuiponda dunia...
window 7 proffesional ambayo ime corrupt nataka kuitoa hii na kuweka nyingine kama hiyohiyo but ninapoinstall ikifika pale kwenye kurestart kompyuta inaporestart ikiwaka inaanza upya yani yataka...
Guys, please help, I am looking for the CHEAPEST best ANDROID phone in Tanzania. I am not interested in things such as camera, Bluetooth, etc. I am actually looking for the phone that is run by...
Habari wana JF.
Simu yangu Samsung Galaxy S2 inaweza kupiga picha vizuri lakini ninapopiga haionyeshi preview ya hiyo picha ninayotaka kupiga. inakuwa giza tu. Mwenye kujua namna ya kutatua hili...
Kwa watumiaji wa simu za android kuna hii google keyboard ni nzuri na nyepesi. Pia ina lugha ya Kiswahili. Nilijaribu kuipata Google Play sikufanikiwa ila kuna hii link hapa ya kudownload...
Natumia window 8, tatizo linakuja napounga Internet (Natumia modem ya Voda ) nikifungua website yeyote tu, inachukua kama dakika tatu au mbili, ikienda sana dakika tano INAZIMA ... nimechizika...
Kutokana na kuuzwa kwa kampuni kongwe nokia kwa microsoft je kampuni hilo kubwa litaendelea kutengeneza simu ndodo ndogo mfano nokia 110 au ndo itadeal na production ya Simu kubwa tu mfano lumia 1020
Wadau,
Naomba msaada nimedownload windows 8.1 nikainstall ilikuwa na key yake ambayo ni default inatakiwa New Key sasa hapo ndipo ninapohitaji msaada maana kila nikiiwasha inanielekeza kwenye PC...
samahan wadau,kwa mlio dar ,et simu tajwa hapo juu kwa dar sasa zinauzwaje? nahitaji kunua mojawapo ila huku mikoan ni amabei ipo juu sana! natanguliza shukran
Nimejaribu kuiangalia kwenye blackberry world siipati, nikipitia Google ndyo sielew kabisaa.. Please kama kuna mwenye link itakayoniwezesha kui-download instagram naomba anisaidie
Wana JFtech.
Laptop yangu imepata short, kuna AC ya Processor imeungua na kabla iliharibika display ilikuwa haionesh, je tatizo la display kutoonesha kunaweza kuhusishwa na kuchoka kwa AC...
money is not an issue.Munishauri ninunue simu gani toleo jipya nzuri yenye weka chaji mda mwingi,viber, and all technology issues.I want latest smart phone
Kwa wanaotaka kununua simu za bei kubwa, Njia rahisi ya kutambua simu fake ni kwa kutumia imei-checker. Nenda dukani ukiwa na simu nyingine yenye net. Google imei cheker, fungua website yake na...
jamani msaada kwa mtu mwenye idea na hizi mashine fuel injection pump tester..maana kuna mashine nimekutana nayo yenyewe tatizo lake haitaki kuwasha mota ya chini kwakutumia panel yake kwenye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.