Wadau naomba msaada wa kuchakachua modem ya vodacom hi-link ndo nimenunua leo inaweza maelezo na jinsi ya kufanya ilishatolewa ial sikuwai soma maana sikua na interest nayo mpaka leo nilivyonunua...
Ndugu habari zenu, natumaini mu wazima. ningependa kujuzwa kuna baadhi ya watu hasa wenye email adres za yahoo ambapo nimekuwa nikiwasiliana nao na mwsho jumbe zao hutokea majna yao kamil namba...
Wanajamii tafadhali msaada wenu nauomba nimenyanyasika vya kutosha. Mimi niko Congo Kinshasa nina line ya Voda ya Congo awali nilikuwa natuma sms bongo bila tatizo zinafika. Lakini sasa ni wiki ya...
Habari wakuu,
Nina ka android cheap device from china,internal memory imejaa ila nimeweka SD-Card ya 8GB,Tatizo nashindwa kudownload More Apps
Naombeni mnisaidie jinsi ya kutatua hili tatizo hili...
Habari zenu wakuu,naomba msaada please,mashine yangu ni MacBook Model No:A1181, inatumia OS ya Mac Lion OS X 10.7 nataka kuinstal new OS.Je, naweza kuinstall Mac OS X Mountain Lion au haipo...
Habari zenu wataalamu. Nilikuwa naulizia kama kuna mtu yeyote mwenye idea kuhusu upatikanaji wa Windows 8 Build 8400, Kwa kuwa nime-google mpaka sasa ila sikufanikiwa kuipata hiyo version ya...
Apple has released OS X 10.9 Mavericks, and somewhat surprisingly it is a free upgrade for all existing OS X users. If youre using a Mac laptop or desktop from the last five years or so, you...
Have you ever thought if you could play/pause the video being played on your system by just raising your hand? If yes, then this is possible with Flutter. Flutter is an application for both Mac...
Najua wapenda kujua mengi zaidi. Chukua hii kwanza ,iwapo unadeni la 500. Tigo na unashida ya kuendelea kupata huduma na unajifikiria ukiweka 500 watakata deni. Hahahahaaa usijali nunu vocha yako...
Compact disk stores data in form of small holes and no holes. As you know all computer codes are just alteration of one and zero. Holes represent 1, whereas no holes represent 0. The holes are...
Wadau embu tujadili issue ya kupewa warrant ktk bidhaa unazokua umenunua hapa tz, unakuta gadget inauzwa duka la kawaida tu kule kariakoo au posta alafu muuzaj anakwambia hii kitu ina warrant?? na...
nikitambua jf ilivyo jungu kuu, naombeni msaada niweze kurudisha contacts zangu.hii ni baada ya kufanya hardreset na mtu ambaye nilikuwa nimemuachia.
help pls.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.