Jamani mwenye kujua jina la huu wimbo au kama unao unaweza kunitupia hapa,umeimbwa na mkenya. Lyrics zake ni hivi! Nilikuwa na mpenzi wangu, Tulipendana Kama nyama Choma, alibahatika kwenda...
Hi the JF FAMILY.
Napata emails nyingi nisizozitaka kwenye inbox yangu, mathalani emails kutoka tradecarview sasa nataka kuzuia emails hizo zisije unless nimefanya mawasiliano nao na wanatakiwa...
Kwa watanzania waliotengeneza apps na kuzitupa kwenye iOS na Android market au walioshindwa kuziweka huko ila wana installation files watutupie basi tuweze kuona wabongo wako wapi kwenye software...
wana jf nielewesheni kuhusu hii simu aina ya coolpad inatumia line 2 nataka kuinunua kwa sh laki 3. Jee kutokana na bei hyo hapo vp inalIpa? maana isijekuwa ni mchinaa!
wana jukwaa hina simu mpya kabisa ya Samsung galaxy s3 ila inanatizo la kuto kiview picture muda mfupi baada ya kupiga .nimejaribu kutembelea kwenye tovuti mbalimbali ila nimeona hakuna jibu la...
Habari zenu wataalamu katika teknolojia. Nilikuwa natumia browser ya opera kwa muda mrefu na nimeizoea sana. Browser hii iwapo maandishi ni madogo na wataka kuyakuza, unaslide kislider fulani hivi...
Habari zenu wakuu!!!!!! naomba msaad, simu yang niki share INTERNET toka kwenye laptop(window 7) inasoma lakin kila nikifungua internet kwenye simu, ina andika DNS FAILED, kwana tatizo ni nini...
WebcamMax 7.7.8.8 Full Version | 25.43 MB
Version: 7.7.8.8
Size: 25.2 MB
Date: Oct 10, 2013
Platform: Windows 2000/XP/Vista/7 (32-bit and 64-bit)
WebCamMax advanced utility to work with a...
Wadau nina simu aina ya itel ina android nataka kutumia intrrnet kupitia line ya tigo naomba mnisaidie kujaza maelezo yafuatayo: Name. APN. Proxy. Port. Username. Password. Server. Mmsc. MNC...
Wakuu habari za maisha ya kileo? Nimepata pc aina ya hp,sasa nashindwa kusikiliza nyimbo toka kwenye pc live,nikibahatisha wimbo unacheza kwa kukatikakatika!
Hivyo wenye maujanja ya kitu hicho...
jamani wakuu, me huwa cjui nawaza kizembe et najiuliza, hv baadhi ya vitu kama _-pesa ma
T-pesa na ma airtym money,
zingekuwa ulaya, kwa hawa ma Hacker na ma cyber ingekuwaje?
Nimeona mara nyingi,maDj,watengeneza/watayarishaji wa filamu,muziki,watu wa graphics,wachoraji ,kwenye studio za picha n.k wanatumia sana MacBook ,huwa najiuliza zina kitu gani cha zaidi ambazo...
Nimetoka nayo safari bush... Usiku wake nilikuwa naitumia.
Nikaamka nikaiweka kwa bag tayari kwa safari.
Nimefika nyumbani..haiwaki kabisaa!!
Ni dell vostro. Nnayo kwa mwezi wa tatu sasa...
simu yangu ni samsung galaxy min gt s5570....... imejaa sms sasa nimedelete zile threads zote za conversation and still inaonesha message memory full.... pliz wadau nielekezeni jinsi ya kufanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.