Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wakuu habari zenu! Hii imenitokea jana desktop yangu kipindi cha nyuma ilkuwa ikiwaka vizur from BIOS to boot window ila ilikuwa na tatzo la kuonyesha mawimbi kwenye...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Wadau nilikuwa naomba links za website zinazotoa video tutorial hasa katika computer science na ICT studies epecially programming,html,graphic design,database na zile issue hots katika ict...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wakuu nina laptop dell N5050 kila niki update hii driver inagoma , hivyo naomba msaada kwa yoyote mwenye ujuzi au link au hata mwenye nayo anisaidie niweze kuipata.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habarini wadau naomba mnishauri simu ipi ambayo ni smart phone nzuri kwa matumizi Bajeti yangu ni Laki 2 asanteni sana
0 Reactions
3 Replies
904 Views
Salaam wakuu, Sometimes unaweza ukainstall game au program fulani then ukitaka kuirun unakutana na kitu kama hiki: The program can't start because d3dx9_27.dll is missing from your computer...
2 Reactions
28 Replies
2K Views
Laptop yangu haisomi moderm lakini mwanzoni ilikuwa inasoma vizuri sijui tatizo nini.
0 Reactions
0 Replies
620 Views
jaman wakuu naomba mnisaidie ichi kitu maaan nasoma nyuzi tofaut tofaut natoka kapa tafadhali saidia wakuu
0 Reactions
4 Replies
1K Views
kuna website inaitwa muziki.net. kuna nyimbo nyingi za kibongo,na mara kadhaa nikiplay moja kwa moja kutoka kwenye website zinacheza but nikidownload inashindikana. nimejaribu kutumia idm bila...
0 Reactions
11 Replies
3K Views
Simu yangu aina ya Samsung Galaxy S2 imekataa kuwaka kabisa. Wapi hapa Dar ambapo nitaweza kupata fundi wa simu hizi? Natanguliza shukrani.
0 Reactions
14 Replies
3K Views
Wakuu Wa Kitengo Hiki Nina shida Na Galaxy S2 Au Simu YA Android Brand Kali Mwenye Nayo Anitafte Ila ni Vunja bei Kimtaa wanasema cha Mkononi Msaada ZAidi
0 Reactions
3 Replies
983 Views
Jaman naombeni msaada wenu ya nini nifanye kwa ajili ya VLC Media Player yangu...kwani haitoi sauti..NimeSET hadi mwishoo ni kimya kimya tu...NimeUNINSTALL..Then nikaINSTALL upya but tatizo...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Nimenunua computer aina ya macbook, tatizo linalonisumbua kwenye hii pc ni kwamba nikiplay nyimbo ambazo ni audio zinakubali, lakini video zinagoma na media player ambayo inatokea wakati wa kuplay...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Magenious wa it.blacky berry curve ilikua inaconect net fresh ila nilipoanza tumia line ya voda nyingne inagoma inaandka retry kuconect. Hebu nifanyieni michakato hapo
0 Reactions
15 Replies
1K Views
Kila nikijaribu ku download movies au game inaandika connecting to peers, hakuna kinachofanyika tena. naombeni msaada au kama kuna software nyingine nayoweza kutumia. Thanks....
1 Reactions
17 Replies
2K Views
habari zenu wana jf naomben msaada pls kuna mtu ananitumia meseji nikimaliza kuzisoma zinapotea hata nikienda kuangalia inbox nakuta hakuna kitu na zinavyoingia kwenye sim yangu zinaonekana juu ya...
0 Reactions
0 Replies
571 Views
mwenye ufahamu zaidi kuhusu raspberry pi anisaidie nahitaji msaada majibu ya nenda google siyataki pia kama kuna reseller wa karibu wa hapa tz naomba msaaada
0 Reactions
0 Replies
912 Views
Kwanza natangulza shukran za dhati Chief Mkwawa kwa moyo wake wakujitoa kusaidia wanaAnalojia ktk forum hii,,, Mungu amzdishie baraka tele na aendelee na moyo huo na Wengne tuache uchoyo nakuigga...
0 Reactions
0 Replies
638 Views
Nina itune 10.5,sasa nataka ku-download Itune toleo jipya Itune 11 lakini computer yangu inagoma kudownload nimetumia njia ileile niliyotumia ku-download Itune 10.5 Mwenye kujua zaidi naomba msaada.
0 Reactions
2 Replies
755 Views
wakubwa,,,,,ivi blackberry inakubali instagram???????? na kama haikubali simu gani yenye kukubali instagram,,,,whatsapp,,fb..tweeter,,viber,, na acesories nyingine za kijamii????????? KUULIZA...
0 Reactions
16 Replies
1K Views
msaada wanajf mnaweza kunisaidia short lecture notes ya jinsi gani ya kutumia hii program, natanguliza shukuran
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Back
Top Bottom