Hellow dungu zangu
Ni jana jioni katika computer yangu ya DELL yenye DUO OS yaani nimeweka win7 na windows blue
windows seven niliacha tu niki-assume itanisadia baadae sasa hii windows 7 ilikuwa...
Nimekua nikiitumia hii app ya android for almost 2 week sasa na naweza kuitolea verdict yangu... ni very useful app kwa wale professionals wanaotumia GPS devices kwa ajili ya kuestablish locations...
Kaka arselona na wana jamii forums wenzangu,msaada kwenye hili,tena msaada wa haraka sana,nimelekwa kwa mrusi mmoja hapa dar,anataka channels kutoka russia,ana euro star 8ft solid dish,receiver ya...
Wakuu, kuna kijiwe huwa tunajimwaga kufuatilia EPL-mpira wa uingereza....jamaa amefunga Dish la d*tv la kipenyo cha karibu mita moja na vikolokolo vyake pia akaongeza twin LNB. halafu amenunua...
Please rescue Nokia store by voting from this link!
https://www.change.org/petitions/nokia-keep-nokia-store-open-don-t-stop-symbian-meego-developers-from-creating-new-applications-updates
Hii...
OCT
5
Buriani Engadget Distro!
Mwezi Septemba mwaka 2010 iPad ya kwanza kabisa ilitangazwa na hayati Steve Jobs, huu likuwa ndio mwanzo wa tableti za kisasa, Jobs alitaja mambo matano ambayo...
Need a help!
I have a new iPad activated in US, it has a cellular mode but the chip is from apple. Can I have a local cellular chip cut in that shape from any provider (eg Airtel, Voda)...
Wanabodi natumia laptop Emachine E642 nilikuwa natatizo na keyboard ambapo baadhi ya keyboad zilikufa kabisa ilinibidi ninunue keyboard mpya kwa 90000/=
Nasikitika huu ni mwezi wa pili tu...
Habari wakuu, nimepewa ipad ikiwa na baadhi ya nyimbo, sasa nataka kuongeza zangu kwa kutumia itunes lakini zinagoma. Kuna mtu kaniambia lazima nifute zile za mwanzo... Naomba msaada juu ya hilo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.