Naomba kusaidiwa kupata hii software.. Imenipa Moral ya kuitafuta, maana nilienda kuflash simu ya nokia.. Nikamuona jamaa anaitumia hii kitu, nimejaribu kuisearch but sijafanikiwa,.. Yoyote...
Nilitumiwa laptop mini kutoka America miezi kadhaa iliyopita.
Nimekumbana na Tatizo kubwa sana kwa uelewa wangu wa mambo haya.
Operation ya Laptop inahitaji niwe na internet ndipo niweze...
Kama ulisha wahi kuwaza juu ya saa yako utaitengeneza wapi na fundi yupi ni mwaminifu..
Mtafute huyu fuundi, ni fundi MZURI na MWAMINIFU saaaaana..
Nimeridhika na kazi yake mpaka nikaamua...
habari wakuu..
mimi natumia simu aina ya nokia x2-01, ina mwaka sasa toka niinunue,
sasa nashangaa tatizo hili ililonalo la kuonyesha mwanga mweupe bila program yoyote kwenye kioo, tatizo lake...
Hi
Team
Please this is my first project on website designing,I coded from scratch.I need to see it using other people's eyes.
You are welcome for advice,comments and suggestions.Thank you in...
UFO mystery tied to launch of trail-blazing rocketStrange, glowing orb is seen hovering over a vast stretch of Indian Ocean; it turns out to be fuel released by next-generation rocket launched...
wakuu compyuta yangu aina ya sony vaio imenizingua sasa nimempelekea fundi kaniambia gpu imekufa na bei yake elfu sitini,kuna ukweli eti hapa wakuu maana naona hela ni nyingi sana.au...
Wadau,
Hizi ni habari za kusikitisha, kuhusu yuke mtunzi maarufu wa military thriller books. Tom Clancy.
Mwandishi huyu amefariki Jumanne usiku kwenye hospitali ya Baltimore, chanzo bado...
Theres no question that the iPhone 5S and iOS 7 together make for the best phone ever made.
The din of offhand, dismissive criticism from the Android fan base that Apple never innovates should be...
Za wakati huu wana JF mimi nipo kibaha nina computer mbili aina ya Dell zinatatizo la kushindwa kuwaka zinawaka taa ya njano tu na siyo green kama zingine. Jamaa wa karibu wanasema ni mother board...
Habari wakuu, Laptop yangu Dell Inspiron 5030 inasumbua kwa kweli.
Kila nikiwasha ina waka vizuri inafika sehem ya kuweka password naweka password baada ya dakika kama 3 ina leta blue screen...
Naona ndo imetoka
3gb ram, samsung quadcore prcessor 1.9 ghz 5.7 inch display,13MP camera, android 4.3, improved stylus na support ya galaxy gear.
Mi naona mwaka huu hautaenda vizuri kwa Samsung...
Jamani nilikuwa na root simu yangu ya samasung galaxy pocket nilivyo maliza nika click reboot recovery simu ikajizima toka hapo haijawaka hadi sasa, nikatoa betri lakini nikawasha tena imegoma...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.