Laptop yangu ni Brand ya Lenovo. ina umri wa miaka miwili tu. natumia Kaspersky 2013 niliyokuwa nai-update daily. kwa wiki ya pili sasa nikiiwasha inaunguruma na hata mlio wa kuwaka (starting up...
The defeat of blackberry smartphone fabricator! It happen to go into slump for about 964$m loss as the result of disappointing for its Smart phone in the market. The heading smart phone in this...
Hello good people
Ninayo sony experia Z, hii simu nilinunua mpya kabisa dukani na nikatumia kwa zaidi ya miezi 3... Ghafla Hasubuhi naamka nikashangaa haisomi network nikajaribu kuirekebisha hapa...
Baada ya kushindwa kununua MAC sasa nataka kununua PC so naomba mawaz yenu juu ya brand ipi nzur kati ya hizi mbil. ni kwa ajili ya graphics & video editing
Habari nyote ma-technician wa jf! Naomba nisaidieni miye mdogo wenu; nimeletewa laptop na mshua mpya aina ya toshiba but sijajua sianzie wapi, nabaki naishangaa plz nishaurini vitu vifuatavyo...
Wadau nahitaji keys za adobe cs3 Master collection. Nilizo nazo zinazingua.
Halafu majuzi nimepoteza nokia yangu e72. Sasa najua kuna mtu anaitumia kiulaini tu maana sikuweka protection yoyote...
Naomba mnisaidie kujua matumizi hasa ya hii app, nimegundua nli install kutoka google play lkn kwa kweli sijui Inafanya nini. Hlf Ile michoro ya kuscan ndo siipati akilini kabisa,naomba mnitoe porini
Wadau Hamjambo jambo
Kwa wale wapenzi wa Music hasa mziki wa mbele, kuna these two special softwares once you combine them together, You can download any Album from any Artist Globaly (Isipokua...
Wakuu hii cm inanisumbua sana tatizo haitak kukubal application ya kununua kifurushi pia m pesa tigo pesa na hta airtel money yaan km sa iv nimeweka laini ya airtel nilikiweka *149*99# kununua...
Nahitaji kununua Laptop nzuri, mtu mmoja kanipa ushauri kwamba MacBook Air ni nzuri zaidi naomba ushauri kwa mwenye ufahamu wa laptop au ambaye ameshatumia MacBook Air anaweza kunisaidia kama...
Napenda kuwasilisha mada kwenu ,Ni simu ya samsung galaxy S4 imepoteza ile orginal boot screen ya samsung s4 baada ya kua nmerestore nilipo iwasha inaleta bootscreen ilo andikwa android nmejarib...
Nina HUAWEI ascend y 200, U8655-1, inajirestart tu, yaan inatokea ile icon ya huawei then inarudia rudia hapo hapo, nimejaribu hard reset ya kubonyeza switch on + volume up lakini wapi...
iOS 7 nausea and cybersickness: What causes it, and why its a sign of things to come
It seems that Apples new iOS 7 is so advanced that its actually causing cybersickness nausea caused by...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.