Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Naona sasa hivi,vipi watabiri wa hali ya hewa hawakulijua hili?
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Msaada ndugu zangu,nataka kuidivert line yangu ya voda pind inapokuwa off air iweze kuita kwenye line yangu ya airtel kwenye tecno 605 NIMEJARBU INAKATA 2
0 Reactions
4 Replies
3K Views
Wakuu naombeni msaada natumia dell d620, window 8. Kumekua na tatizo kila nikifungua pc nakutana na ujumbe huu kwenye desktop Window created a temporary file on your computer because of a...
1 Reactions
10 Replies
1K Views
if he..... brightvision19
0 Reactions
0 Replies
572 Views
Bill Gates: Control-Alt-Delete was a mistake...
1 Reactions
4 Replies
2K Views
Kuna ndugu yangu anaomba msaada kuifungua Tecno N7,hiyo simu ilikua unaifungua kwa touch unaandika elufi Kubwa,sasa kuna dogo alichukua akawa amejaribu kufungua?Password alizoingiza azikuwa...
0 Reactions
1 Replies
775 Views
Bado sijajua jinsi ya ku-set modem iwe katika WCDMA only.Nilipokuwa na window 7,nilikuwa naenda options>>network>>halafu nina-select kati ya WCDMA only,WCDMA preffered,GSM only na GSM...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
to read more click brightvision19
0 Reactions
0 Replies
691 Views
Wadau nimekuwa nikisikia habari za askari kuvaa bullet proof lakini sijui ni kwa jinsi gani huzuia risasi. Naomba kwa mwenye maujuzi anifahamishe.
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Hii kitu naweza nikaipata wap hapa bongo bcoz tv yangu Sony wega inch 52 inahitaji kuwa replaced hii kitu
0 Reactions
0 Replies
670 Views
if you know what i mean.....
0 Reactions
22 Replies
2K Views
naomba msaada wa kurudisha bootscreen kwenye simu aina ya samsung galaxy S4 wakuu nilikua naifanyia Restoration ili niweke account mpya baada ya hapo nilipo washa inaniandikia android ile icon...
0 Reactions
0 Replies
883 Views
moja kati ya vitu vinavyoogopewa tanzania ni radi. sasa pata picha kitu kinachoogopewa kama radi kinapobadilishwa na kuwa rafiki wa mwanadamu na kuweza kutoa nguvu ya umeme kuchaji simu. nokia...
1 Reactions
21 Replies
3K Views
Ndugu yangu, Humu mitandaoni kuwa makini sana. Simaanishi kwenye Intaneti tu hata kwenye simu. Kwani tumesikia watu wanangapi wanatapeliwa na watu kwa kupigiwa simu na mtu asiyemjua lakini kwa...
0 Reactions
4 Replies
3K Views
wakuu kila nikijaribu kupiga simu naletewa 'ACM limit exceeded' bt meseji zinaenda na kuingia vizuri tu...vile vile naweza kureceive calls...msaada wa namna ya kusolve hii kitu...
0 Reactions
1 Replies
740 Views
Kuna jamaa ame reverse engineer iMessage ifanye kazi kwenye simu za Android ipo Google Play https://play.google.com/store/apps/details?id=com.huluwa.imessage Nina uhakika itafutwa muda si mrefu...
1 Reactions
13 Replies
2K Views
Sababu zisizoeleweka zimepekea Blackberry kutotoa BBM kwa ajili ya Android na kuifuta ya iPhone kwenye appstore baada ya kutoka kwa muda mfupi. Hii inaendeleza tabia ya muda mrefu ya BB...
2 Reactions
27 Replies
3K Views
Nimekuwa nikitumia Iphone 3gs kwa kipindi kirefu sasa nataka kupanua wigo wa matumizi ili niweze kupata Application ambazo si za APPLE nasikia ni nzuri sana,naomba mwenye ujuzi huo anisaidie.
0 Reactions
1 Replies
830 Views
The Great Wall of China is a collection of short walls that often the crest of hills on the southern edge of the Mongolian plain.click brightvision19
0 Reactions
3 Replies
940 Views
Wadau naomba msaada Flash Disk yangu inasema niiformat kwanza wakati nina mafaili muhimu ya kazini na mambo mengine, je kuna njia yeyote nayoweza kuifungua bila ya kuiformat? MSAADA PLEASE!
0 Reactions
4 Replies
915 Views
Back
Top Bottom