Hello
Nataka kufahamu jinsi gani naweza kubadilisha Low pressure regulator ya mtungi wa gas kuwa high pressure regulator. Maana nataka low pressure regulator niliyonunua iongeze spidi ya...
Wadau kuna shule nimeitengenezea blog but tatizo linalojitokeza ni kuwa kila ninapoifungua katika njia ya kawaida hiafunguki mpaka niisearch kwa google ndio naipata....je tatizo ni nini hapo...
Wakuu kuna uzi flani ulielezea jinsi ya kufanya disk partition kwenye pc,nilifata steps zote lakin baada ya kuona disk ambayo ina jina UNALLOCATED nika right click na kuchagua "new simple...
Ili kupata star tv kwa star times tena unakwenda menu.halafu chini kuna system setting unabonyeza ok then inakuja channel search then inakuja manual search mbele kuna namba 451unabonya namba 053...
Ndio hvyo wapendwa...nimejituma ila sijui wapi pa kuanzia kuhusu App za Ant-Theaf, Music,Video & Games, social network pamoja na browsing nyngne ukiachana na Opera min....mengne mnaweza kuongeza...
Kuna usemi wa kiswahili unaosema, "mali bila daftari, hupotea bila habari". Maana ya msemo huu sio kwamba kwenye daftari ndio utahifadhi mali zako, la hasha, bali kwa kuwa na mipango na kumbukumbu...
Wana JF especially wale wenye ujuzi na mambo ya IT zaidi naomba msaada wenu juu ya matumizi ya program/software inayoitwa ORION DESKTOP inayotumika sna na ma suppliers na wa2 wa biashara pia.:A S...
habari poleni namajukumu samahani naomba kama kuna mtu anajua kuna chuo kinachotoa diploma ya electroengernering (samahani kama nitakosea) kwa online anijulishe kwa my email davidkabelinde@yahoo.com
Kuna jamaa humu jamvini alieleza jinsi ya kurudisha startv kwenye kisimbuzi cha startimes. Leo nimejaribu nimefanikiwa ingawa am too late but! Tatizo channel zinaonyesha but kuna ka-bango...
With Samsung still holding on to its place at the very top of the world smartphone market, there is no shortage of China-made clones of its most popular handsets namely, the Galaxy S3 and its...
Hili ni janga kwa sasa nimenunua modem za kampuni zote za simu hapa tz, nilianza na moja nikaona inazingua speed nikahamia mtandao mwingine nako hali ni ile ile hadi nimemaliza leo nimenunua...
Hungry techies everywhere from Nigeria to Ghana, Kenya and South Africa are building web-based companies providing simple solutions for some of our most daunting challenges and inconveniences...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.