wajf poleni na majukumu,naomba mnisaidie jamani nina simu yangu ya mchina aina ya Itel internet ipo fresh,file inaweza kudownload ila tatizo ikiisha maliza kudownload file halifunguki inaandika...
habari za leo,
nina tatizo. nimeformat laptop yangu iliyokuwa ina antivirus ya kaspersky niliyokuwa naitumia nikiwa nje ya nchi.. sasa nimeirudisha hiyo antivirus baada ya kuformat nikajaribu...
Cheka Bombastik Mpya! Pata Dak 40 kupiga simu mitandao yote TZ, SMS bila kikomo na MB 250 za Intaneti kwa masaa 48 kwa Tsh.900 tu, Kujiunga piga *147*900# sasa.
Kazi ni kwenu.
Habari za Leo
Naomba msaada wa simu yangu aina ya iPhone 4S inazingua wakati Fulani Yule nae mpigia hanisikii nimebadilisha mic likini bado tatizo lipo.
Ila kuna muda inafanya kazi fresh lakini...
Wadau.
Nimenunua simu ya IDEOS toka Tigo but realized imekuwa customized for Tigo ONLY
HELP TO UNLOCK IT?
Help to unlock my freedom to use it for the network. Of my choice.
Kuna taarifa ambazo nazitilia mashaka kama kweli zimetoka airtel.. Page yao ya facebook nahisi imeingiliwa na wahuni amabo wanaipa promo kampuni inayosema inatoa mikopo ya bei nafuu iitwayo SOCIAL...
Nauliza wataalamu naweza kuzipa ubora nyimbo za bongo fleva nilizo download toka mtandao wa manase?Nyimbo nyingi zina ukubwa chini ya MB 1.Hazipig vizur.Naomben mnipe jinsi ya kuzipa ubora.
Hi
Members
I need the following network materials,there is a little network task I need to accomplish
1.Surge arrestor preferably protect net,APC,see the photo below
2.PVC cable trunking...
salam wakuu .
nimepokea zawadi ya cm aina ya SAMSUNG galaxy wonder. ni android 2.3.6 cha ajabu haina icon ya market wala play store so siwezi kudownload apps kutoka google . ila whatsapp...
The company on Wednesday introduced the BlackBerry Z30, a new model that features a 5-inch display, stereo speakers, a bigger battery, and the latest version of its BlackBerry 10 operating system...
on ma side ninaweza kuchakachua Airtel na zantel Kuchakachua follow steps bellow
Download Cproxy mimewawekea kwachini kwenye page hii au click CPROXY
Then install it ita open but itakua...
ndugu zanguni nakumbuka miaka ya 2000 ndio nilianza kuzifahamu smartphones haswa nokia hizi N series,hapo kabla niliona sana siemens then motorola L6 na L7 na samsung kadhaa zikashika hatamu...
KWA PC:
You need a PC or a Laptop and the required connectivity tools ,ie.,
Serial/USB cable OR Infrared Device OR Bluetooth dongle
1) Activate Airtel Live! ( Its FREE so no probs)
2) Create...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.