Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Katika kujifunza Kwangu web designing nimekutana na hii kitu Rss, ina maanisha kitu gani? Je ni system ya zamani au mpaka sasa inatumika katika websites?
0 Reactions
0 Replies
838 Views
Jaman wadau nackia kwenye window 8 kna radio unaweza ckiliza za ndan au za njee ila cjajua naipataje o msaada tafadhar wakuu
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Wadau mimi natumia simu aina ya Nokia E-71-1, tatizo langu lipo kwenye connections ya internet! Jf naingia kwa kulegalega sana maana inaload mida mrefu sana, sasa mimi nataka nijiunge na Whatsapp...
0 Reactions
0 Replies
978 Views
Yaani kipofu kaona mwezi! Hapo nyuma kuna Hangover III, We are the millers, Killer Elite, Now you see me, This is the end na white house down Halafu zote ni HD 720 Ka weekend katakuwa poa sana...
6 Reactions
78 Replies
6K Views
Wakuu heshima kwenu, ninaomba msaada nifanyeje, ninapofungua thread ya JF nashindwa kuscroll ili kusoma posts, ile scroll bar hutokea na kutoweka au inakuwepo lakini nikiscroll hainifanyi kufika...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
wandugu naomba mnisaidie, natumia dell latitude d610, ilikuwa inafanya kazi fresh, ila siku moja nilipoiwasha ikaniletea screen ya buluu ikiwa na text, part ni "... memory parity error ..."...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
wakuu nahitaji android lakini naona km ziko high price sana. hv simu gn ya android ni bei rahisi?
0 Reactions
19 Replies
3K Views
kwenye home work yangu nimeulizwa nitaje mifano ya super computer, kama unaweza tafadhali nisaidie
0 Reactions
1 Replies
923 Views
Naomba mwenye kujua namna ya kupata StarTV, ITV, Channel 5 ETC. Tafadhali saidia
0 Reactions
4 Replies
2K Views
My iphone 4s haiwezi connect na Apps store na itunes after upgrading to ios 7, any idear. Please help.
0 Reactions
1 Replies
876 Views
jamani msaada wenu! Nipo kwa jirani yangu kwa bahati mbaya nilipretend km fundi, nimechokoza kale ka antena ka startimes ka ndani. Sasa inasearch mda mrefu. imeandika 35 receaved, 2 channel...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Note from the head of BBM Posted by Andrew Bocking Hi Android and iPhone users, This is Andrew Bocking, head of BBM at BlackBerry. As a follow up to our first blog post on Saturday, I want to...
0 Reactions
0 Replies
892 Views
http://www.bbc.co.uk/swahili/medianuai/2013/09/130914_teknolojia_wikijiiii.sh tml cheki video
0 Reactions
2 Replies
981 Views
Salaam! Simu ya blackberry curve imeibiwa punde tu,naomba msaada wa wataalamu au wazoefu jukwaa hili kama kuna njia yoyote ya kuitrace ikapatikana. Natanguliza shukrani.
1 Reactions
0 Replies
659 Views
Water on Mars: Curiosity Rover Uncovers a Flood of Evidence...
0 Reactions
0 Replies
717 Views
JINSI YA KUWEKA MAKUNYANZI USONI download link hii >>>>>> http://mtotosix.tk/files/filestore/mzee.zip
10 Reactions
33 Replies
4K Views
haya tena wapenzi wa teknolojia mpya microsoft wametangaza surface 2 inatoka jumatatu ijayo, itakuwa na 10.6-inch 1080p screen, details zaidi zinakuja, pia mnaweza ongezea
0 Reactions
7 Replies
1K Views
wadua nani anadeal na vifaa au anayejua sehem wanapouza hivo vifaa vya projector asante
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Wadau naomba kujuzwa ni aina gan ya computer/destop (pc) nzur na spacfication zake kwa ajili ya video editing &3d
0 Reactions
5 Replies
975 Views
naombeni mnisaidie ni server gani zenye speed nzuri kwenye pd-proxy..?
0 Reactions
21 Replies
2K Views
Back
Top Bottom