Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Samsung Galaxy Note 3 Design Jet Black or Classic White, Galaxy Note 3 is thinner and lighter with a variety of S View Flip Covers. Performance 2.3 GHz Quad-Core Processor, 13 Mega pixel Auto...
0 Reactions
0 Replies
700 Views
Je, ni simu zipi ni nzuri kwa matumizi ya kawaida ya internet kati ya HTC na Samsung Galaxy? Simu zenye bei isiyozidi sh. laki 3. Naomba ushauri wa kitaalamu katika maeneo yafuatayo: 1. Uimara...
0 Reactions
23 Replies
4K Views
Nilijikuta nimeingia kwenye application lakini kumbe spyware ikaingia kwenye toolbar yangu na kila nikitakakutoa kimeshindikana ni ka unstall Mozilla ila kwenye explorer akipo kitu chenyewe...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kwa mwenye product key za Bongo 1.0 operating system,naomba anisaidie.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Kama nimpezi wa mipra bonyeza link hapo chini utaweza kuangalia league zote duniani live pamoja na premiere league kwa kutumia stream internet. unauweza wa kuangalia hata HD channels lkn...
2 Reactions
22 Replies
4K Views
Naomba kujua kama hiyo application ipo tayari kwa simu za blackberry ??
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu Simu Yangu toka jana Nashindwa kuingia Google wala ku download chochote kile, nikiingia Google Inaniambia Web page not available, tatizo ni nini? Aina ya simu yangu ni Ideos huawei - U8150
0 Reactions
1 Replies
909 Views
Wakuu naomba msaada nitapataje network controller drivers i.e wireless in toshiba satellite c850
0 Reactions
1 Replies
753 Views
natumia samsung b 5510 galaxy y pro tatizo ni kwamba nikitaka kupiga picha natapa this error ERROR MESSAGE HANDLER.HANDLE MESSAGE Any to help me?
0 Reactions
1 Replies
781 Views
Nina simu yangu ya Samsung GT-S5603 imegoma ya touch screen imegoma kabisa kusense kwenye kioo,nashindwa hata kuitumia,ipo ipo tu,naombeni msaada wenu kwa wale wenye kujua jinsi ya kuitengenezea...
0 Reactions
1 Replies
888 Views
Fellas nnatatizo kwa laptop yangu aina ya macbook 2,1 inabehave strangly nimeichomeka kwa umeme ila imeweka x kwa icon ya battery afu inanipa ms plugged but not charging! Nimetest battery kwa...
0 Reactions
2 Replies
937 Views
Jamani nisaidieni kuhusu kutambua lilipo soko la circuit za simu manake wanaozitafuta wamekuwa wengi
0 Reactions
2 Replies
1K Views
I have huawei e303 modem from vodacom. My modem has unlimited internet bundle. the problem i am recently facing is that my modem disconnects from internet after almost every one hour. I am using...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
kAz1 kwenu! :bolt:
1 Reactions
0 Replies
713 Views
Habari zenu wana JF, nahitaji kujua zaidi kuhusu https na ssl na nini athari za https kutotumika kwenye website. Nahitaji maelezo mazuri kwa anefaham teknolojia hii. Kwa mtu akinielewesha kwa...
0 Reactions
0 Replies
767 Views
Ni aina gani ya Laptop iko bomba na inadumu zaidi?. Na je ikiwa na properties zipi ndo inafaa zaidi?.Pia ntajuaje kama ina uwezo wa kuburn DVDs.
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Salam wanajamvi: kwa muda nimekuwa nikijaribu ku-install software ya xampp katika pc yangu lakini tatizo apache inafail ku-run , mara nyingine kunipa message kuwa port 80 inatumika so haiwezi...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Nilikuwa naactivate window 7, wakati wa kuirestart ndo tatizo limeanzia hapo, inawaka inazima, kuwaka kwake inaishia kwenye neno ACER then inazima, sijui ina matatizo gani wakuuu, plz naomba...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Naomba kufaham Hatua Muhim za kufata kutegesha Dish La Tv kwenye Satelite Husika nikiwa Na Satelite Finder Meter. mfano: Ku Eutelsat W4. 36.0°E
0 Reactions
0 Replies
750 Views
NNNnnnnnnnnkkssnnnnnnnnnnnnnnnnn nnnnnn mmmmmmmmmnnkdsakljl
0 Reactions
0 Replies
634 Views
Back
Top Bottom