Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
hawa jamaa hawatak mas'hara kwan ukimaliza kifurushi chao fasta wanaku disconnect! hawana ule mchezo wa peruzi but usidownload na kustream video au kuklimit speed kwa mda fulan kam kamtandao...
0 Reactions
17 Replies
2K Views
Wakuu naweza ku update iphone 4 kwenda kwenya ios 7 kwa kutumia wifi only bila kutumia laptop/itunes? CC chief-mkwawa C6 [MENTION=11527]good guy Kang
0 Reactions
7 Replies
2K Views
"Any Video Converter Ultimate will help you rip DVD and convert video to popular formats for iPod, PSP, mobile phones" "Users will be able to access options such as Apple iPod / iPhone / iPad...
1 Reactions
11 Replies
4K Views
wale watumiaji wa king'amuzi cha continental pata taarifa kamili
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Habari wana Tech wa JF naomba msaada wa namna wa ku crack na ku activate Windows 8 maana inanisumbua popups kila saa mpaka inanikera.
0 Reactions
1 Replies
743 Views
wanajf naomba msaada jinsi gani nitawapata marafiki zangu wanaotumia huduma hii ya watsapp maana nimehangaika mwenyewe bila mafanikio.natumia tecno p3 na) nayo huduma hii
0 Reactions
4 Replies
2K Views
BBM iOS and Android releases paused: staggering forward . SlashGear Chris Burns 4 hours ago Though the software teams at BlackBerry suggested they’d be beginning the roll-out of BBM (BlackBerry...
0 Reactions
1 Replies
780 Views
Habari za week end ndugu zangu. Nilikuwa natafuta hii software na kama kuna mtu anajua ni site gani naweza kudowloand a free full version naomba anipatie anuani ya site hiyo. asanteni
1 Reactions
0 Replies
682 Views
Wapendwa habarini za asubuhi Vodacom tanzania ni mtandao nilikuwa nauamini sana, ila jana wamenialibia siku sababu wanakula ela yangu bila kusema sababu ya kula ela yangu. Nilijaribu kuongea na...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Wakuu kuna Client wangu wa PD PROXY amepata suspension siku 5 zimepita aliniomba nimsaidie lkn kwakuwa mteja ni mali basi nikamtumia Annelyn Mure i.e Admin wa PD Proxy email kumuuliza kwa nn...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari wana JF. Naomba ushauri wenu nataka kununua simu nzuri kwaa jili ya internet , kudownload vitu. je simu gani nzuri ninunue kati ya samsung galaxy na Blackberry? Pia nitajuaje kama ni...
0 Reactions
25 Replies
3K Views
hii ya android imekaa sawa coz inanipa updates zote kwa wakati mmoja,, what about an app 4 windows 8
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Kuna tetesi zinaendelea mtandaoni kuwa kampuni ya nokia inatengeneza simu za android. Inasemekana tayari simu 10,000 zimetengenezwa kama prototype na zinatestiwa. Simu hizo zinatestiwa katika...
0 Reactions
65 Replies
7K Views
Heshima kwenu Wanajamvi! Naomba kujuzwa vigezo vya hii simu inayoitwa Nokia Lumia 720 kuhusu bei, ubora na namna ya kuitambua kama ni original. Naomba kuwasilisha kwenu wazoefu na hii kitu!
0 Reactions
1 Replies
839 Views
Computer forensics is a new and exiting field that is gaining popularity. Because of the complexity and legal boundaries, few truly understand what skills are required to be an effective computer...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Nimefatilia sana GTA V kabla hata hawatangaza date of release. Kwa kweli nimesikitishwa sana kuona kwamba PC Gamers itabidi tusubiri sana maana kwa sasa mpango uliopo ni kwa platforms za. Xbox na...
1 Reactions
21 Replies
2K Views
kuna yoyote anafahamu lilipo duka hapa tanzania ninapoweza pata hiyo kitu anielekeze
0 Reactions
0 Replies
587 Views
wanajamvi....pc yangu nilikuwa naifanyia disk partition... kwa kutumia partition magic, ikadai kureboot ili changes zitake place...sasa wakati inajiweka na kujikusanya nkaona inanchelewesha...
0 Reactions
1 Replies
716 Views
natuma simu aina ya T506 kuperuzi facebook, ni siku ya nne leo nikufungua sehemu ya search haifunguki, tataizo ni nini?naomba msaada wenu tafadhali
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Kuanzia mwaka 2007 iphone wanatumia google maps katika simu zao. Hivi karibuni iphone wakazindua simu yao inayoitwa iphone 5 na wakasema watatumia maps zao lakini mambo yamekua kama vichekesho...
0 Reactions
48 Replies
7K Views
Back
Top Bottom