Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Hello If you want to know anything concerning any profession, then you are free to ask I will give the correct answer right here. Your question must be clear and short.
2 Reactions
26 Replies
1K Views
Kuna mambo kadhaa ya kuzingatia kabla ya kuchagua laptop ya kununua Processor, Storage,RAM, Display, Graphics n.k 1.Processor Hapa ndo kwenye performance nzima ya kompyuta yako Ni namna kompyuta...
7 Reactions
16 Replies
4K Views
Habari za kwenu, Wale wadau wenye project za Electronics pia na za telecommunication Hata It ambazo hazijaendelezwa kwa sababu mbalimbal n pm ukitaja project title yako na approximately cost ya...
0 Reactions
1 Replies
415 Views
Wadau nina Samsung galax A50 Hii simu bana nikienda sehemu ya baridi ina ji freeze kabisa yaani ina ji restart kila wakati yaani kifupi haitaki baridi kabisa msaada wadau nifanyeje?.
0 Reactions
4 Replies
362 Views
Mi nafikiri ni kutopenda kusoma na kutozitambua fursa kijamii, zaidi ya hapo ni kutojua hali ya mtaa kiuhalisia. Je, wewe unasemaje? Tuwasaidie watakao drop baadae😊
3 Reactions
53 Replies
6K Views
Habar Wadau[emoji114][emoji114] Hapa Ofisin Director General ametununulia Kifurushi cha Unlimited kwa mwezi Mzima hivyo nikiwa sina kazi huwa naingia Web mbalimbali maisha yanaenda. Sasa Kuna...
3 Reactions
35 Replies
3K Views
Hbr za majukumu ndugu zangu nahitaji kuweka apple id mpya maana iliyomo nimesahau password na password wanataka wanitumie kwny namba ya cm ambayo siitumii muda Sasa na aliyenisajilia hayupo Kwa...
1 Reactions
19 Replies
1K Views
Kimekaa kama kichwa cha chaja kina port ya type C ila sijajua kinakuwa kinapokea moto kutoka kwenye chaja za type C au inakuwaje? Na kikipokea huo moto kinafanyaje? Nimejaribu kukichaji na...
1 Reactions
34 Replies
2K Views
Habari zenu Ndugu Zangu Wapendwa, Matumaini Yangu Kuwa Mnaendelea Vizuri Katika Kusukuma Gurudumu La Maisha. Nahitaji Msaada Wa Kujua Ni Chimbo Gani Hapa Mjini(Dar) Wanapotengeneza Key Holders Za...
0 Reactions
0 Replies
310 Views
Habari wana JF leo nimejitolea hii siku kuwa online kwa ajili ya kuwekana sawa kuhusu Adsense.Nimepata kuona watu wakiwa na maswali mengi licha ya kuwepo kwa nyuzi nyingi kuhusu Adsense,Hivyo...
10 Reactions
262 Replies
36K Views
Habari wadau naomba msaada jinsi ya kuset adsense account. Nimeunganisha na you tube channel yangu nimejibiwa hivi mara mbili kila navyoconnect. Msaada tafadhali sijui nakosea wapi.
0 Reactions
13 Replies
928 Views
Habari wadau, Jaman naombeni msaad kama kuna uwezekano wa kupata mod ya dls 2023 iwe na unlimited coin na germ yaan daimonds.
2 Reactions
40 Replies
5K Views
Wadau naomba kujuzwa, ujazo wa tank la noah wa mafuta, inatumia lita moja kwa km ngapi? kwa mwenye uelewa naomba atujuze.
1 Reactions
18 Replies
17K Views
Wadau naomba mnishauri... Nataka kusoma cybersecurity. Nilikuwa nauliza na naomba mnishauri je UDOM ni chuo kizuri kusoma cybersecurity???
0 Reactions
15 Replies
6K Views
Msaada tutani waungwana. Hapa ni screenshot ya Simu iTel A58 - android kwa juu: 1. Kushoto juu ni saa 22:19 2. Kinachofuata ni ki icon cha nini na kinatoka vipi? 3. Kinachofuata ni...
0 Reactions
2 Replies
380 Views
Nina tatizo nahitajia usaidizi Simu yangu haisomi line ya Airtel na imetokea kukata mawasiliano ghafla tuu kwani mwanzo ilikuwa unasoma vizuri kabisa Card slot ya simu iko sawa maana line...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kampuni ya Nokia imefanya mabadiliko ya mwonekano wa logo yake. Design ya logo ambayo imekuwa ikitumika tangu mwaka 1966, japo ilikuwa inabadilika kodogo (mwaka 1992, 2006 na 2011); kampuni ya...
9 Reactions
29 Replies
2K Views
habarini ndugu.... natafuta sehemu ama chuo cha kusoma mambo ya information security hapa tanzania hasa dar es salaam. natanguliza shukrani naombeni msaaada wenu
0 Reactions
15 Replies
3K Views
Habari wadau Naomba kujua kwa wataalam, hivi kama mtu amebadilisha namba za simu lakini akasajili namba mpya kwa majina yake, ie katumia ID yake naweza nikamtrack kupitia ID namba mfano Nida...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
copy paste fb, ila naisapoti Kuna kitu nataka niweke clear once and for all, Kumekuwa na upotoshaji mzito kwamba Pure Mathematics ya A-Level inamuandaa vema mtu kusomea degree ya IT / CS and the...
3 Reactions
20 Replies
3K Views
Back
Top Bottom