kwa wale wanotumia dongle za AZSKY G1, G1+ au A+ account zine expire rasmi leo mchana kwaio ukuiona yako haifanyi kazi jiandae kununua account mpya.... nitakujulisheni zitauzwa kiasi gani ni jinsi...
Ninatumia ka blackberry kangu niliweka service ya mwezi tokea 28.07.13 cha ajabu ilivyofika tarehe 24.8 wakakata nikareport tatzo kwao tokea siku hiyo wananiambia wanashughulikia tatzo kila...
Habari Wadau.
Kampuni ya Kitanzania ya Rasello imefanya maajabu kwa kuingia katika kinyang'anyiro cha kuwania taji la Kampuni bora inayochipukia yaani StartUp.
Ewe Mtanzania mwenzangu onyesha...
wakuu swali kama linavyosomeka hapo juu
ninetengeneza blog lakini nikiisachi kwenye google siipati.
Naomba maelekezo yenu ili ipatikane ktk search engine
asanteni
Habari ndugu zangu, nina very special card kwa ajili ya Video editind na 3D modeling and animation.
kadi yenyewe ni Indvidia Quadro Fx 1100
Mimi nahitaji Geoforce yoyote kuanzia 8500
Au...
creation ya android apps kwa matumizi unayohitaji kikazi ama binafsi pia theme za android kwa kuweka picha ama icons uzipendazo,kwa alie interested anshtue.....
Msaada tafadhali mwenye ufahamu kuhusu hili anisaidie.
Nafungua WhatsApp kwenye tecno n3 inaleta ujumbe huu Adjust your date. ilihali saa,tarehe na GMT Vipo sahihi. natakiwa kufanya nini...
Wakuu nisaidieni, kwani na kwama hasa kuingiza tarakimu
km *150*00#
km *148*01#
km *149*99#
hata baadaye kuongeza *2#, * au #
yaani ninachofanya ni kuitoa cheap na kuingizia kwenye simu (Mobile...
On this occasion I will share
Tricks Increase Internet speed , but before you apply, I would like to stress that all sorts of tricks / tips on increasing internet speed is not everything went...
Specs;
DD-WRT Pre-Installed.
VPN Compatible.
Unlock HULU/NETFLIX/POPFLIX/PANDORA/SPOTIFY/BBC iPLAYER ect
Plag & Play, No Set up required.
Works good with your Smart TV(e.g YOUTUBE)
Wi fi up to...
Ni ukweli usiofichika kuwa, katika dunia ya leo, zaidi ya nusu ya vijana wa Kitanzania wanaotumia Internet, basi hutumia Facebook. Tumeona matukio kadhaa ya watu kudhalilishwa na wengi kuamua hata...
Simu yangu huawei ascend nashindwa ku install app zaidi wala ku update. nikiingia play store ina download mpaka 100% halafu inaandika installing.Ina jumla ya applications 107.available memory...
Wadau,
Naomba msaada wa hiyo program Microsoft Encarta....kila ninapo-google, nakuta ipo na website zingine kv cnet, softonic nk ambapo ukifungua link, ni kama nashindwa kukuta direct link ya...
kwanza natanguliza heshima kwenu wakuu.
wakuu naomba msaada wenu napata tabu sana .shida yangu ni kuwa ninaredio sasa kunasehem huku nimehamia nahisi umeme ni kidogo sababu ikifika usiku tu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.