Salaam wanajamvi!
Naomba mnisaidie jinsi ya kuweka program ktk Ipad na nifanyeje kuepukana na virus?
Jambo jingine ni hili-ni programs gani ni nzuri kwa Ipad?
Ntafurahi sana nikipata msaada...
Wadau habari za majukumu, nimenunua simu mpya aina ya HTC ONE X ambayo inatumia min card, kinachonisumbua nimechonga min card na kuweka lkn inasema registration fail, na min card niliyochonga...
1. Wahusika wanapenda uwasiliane nao kwa nyia ya email pekeyake na si vinginevyo.
2. Wanatoa ahadi ya kukutumia picha.
3. Watadai wanakupenda saana au wamevutiwa na profile yako.
4. Profile zao...
Habarini wadau naomba kama kuna application ambayo naweza kutumia facebook ukiachana na ile facebook special kwa Android mnijulishe hii special inakuwa slow then inachukua space kubwaa sana...
habarini
Nimeshafungua Web yangu kwa kuwatumia webstart ila kuna
tatizo nimelipata wakati nafuata yale maelekezo yao
kuna kitu nimeshindwa kukifanya nacho ni kujiregistere kwenye domain
naomba...
Habari wakuu nimeona matangazo ya ios7 imenivutia sana natamani ku-upgrade ios ya simi yangu ila nimejarbu sioni mahali pa upgrade ila sijaona,
Na je ukiupgrade kuna matatizo yoyote?
Shirika la ndege la Tanz air linalofanya safari zake toka Bukoba kwenda Zanzibar leo imepata hitilafa katika moja ya injini zake ikabidi rubani kutua ktk ziwa manyara. Abiria watano na rubani wapo...
WanaJF kwa yeyote au hawa wahusika wa hizi TV mbili yaani Star TV na TBC 1 vipi mbona hamuonekani kwenye satellite? Au mmebadilisha frequency? Maana ni matangazo mengi mtakosa kwa kutoonekana hivi...
Heshima zenu wakuu. Naomba msaada hapa kidogo. nina modem ya airtel inapig kazi kama kawa ikiwa na network type HSPA ila ikibadilika kwenda HSDPA, inakuwa slow balaa yaani hata kufungu facebook...
NEW YORK (CNNMoney)
If you're smart and rich, there's a good chance you use Google.
A study released this month by online advertising company Chitika found that people who use Google's search...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.