Ndugu ,naomba mtu yeyote mwenye uelewa wa jinsi ya ku update simu ya android ,simu yangu ni Samsung s 21 ultra inatumia android version ya 13 sasa nataka niipeleke kwenye 14,maarifa yenu yanahitajika
Samsung Galaxy One UI, sio jina geni kulisikia, si ndio?
Hii ni software inayotumika kwenye simu na tablet za kampuni ya Kikorea Samsung.
Samsung walipoanza kutengeneza simu mwaka 2008 walikuwa...
Habari wakuu,
Naomba kujua jinsi ya kufanya channel hizi za WhatsApp iweze kuonekana kwenye search pale mfano WhatsApp mtu akiitafta jamiiforum inakuja.
Naomba kufahamishwa tafadhali, ni process...
Smart-glasses na Argumented Reality glasses zimeanza kitambo ila bado hazijafika "peak" ambayo mtu atatamani kununua.
Tokea enzi Google alileta Smart-glasses zake 2013 akawa anawauzia...
Wakuu mimi si mpenzi wa pixel, iphone na Samsung lakini najikuta nataka kuchukua tu, Sina namna majuzi nimetafuta simu nzuri yenye kamera kali kila tukilinganisha na pixel basi pixel kiwembe...
Habari, inaonekana simu yangu imekuwa ikituma hizi code for sometimes now hasa kupitia mtandao wa Yas, zinafanana na last day imetuma jana usiku muda huo nilikuwa far asleep, kwa yeyote alie na...
Ninahitaji custom Pc ikiwezekana ziwe za mtumba
Ninahitaji kichwa cha custom cpu, Monitor ipo ya kawaida.
Budget niliyonayo ni laki 8 hadi milioni 1
Matumizi ni ku edit video pamoja na kuchezea...
Habari wana jukwaa.
Nina Halotel Mobile Wifi Mfi_0428F2 ambayo nimeitumia vyema kwa kipindi cha miaka 2, ghafla tu imeanza kuleta shida kama ifuatavyo.
Ukiweka line na kuwasha, mara inakwambia...
Nimeandika uzi huu kuwasaidia watu ambao wanataka kucheza games kwenye pc na wanashindwa au hawana pc na wanatamani kuwa na pc waweze kucheza games hizi.
Mahala pa kununulia pc za kuchezea games...
๐๐ถ๐๐๐ผ๐ฟ๐ถ๐ฎ ๐๐ฎ ๐ธ๐๐๐๐บ๐ถ๐ฎ ๐ฃ๐ฒ๐๐ฎ ๐ญ๐ฎ ๐ก๐ผ๐๐ถ ๐ง๐ฎ๐ป๐๐ฎ๐ป๐ถ๐ฎ
Miaka imekwenda toka enzi hizo watu wanatumia shilingi moja, mbili, senti moja nk maisha ya Watanzania yalibadilika baada ya utambulisho wa Noti...
Habari zenu wakuu,
Nimekuja kwenu wadau naomba msaada wenu kwa wamiliki wa App huko play store nataka nijue App yenye download watu 10k na watumiaji active 10% malipo yake huwa kiasi gani kwa...
Wadau,
Ni brand gani ya headphone au earphone zina midundo yenye ubora wa hali ya juu kwa kusikilizia muziki au audio ambayo haichoshi masikio hata ukitumia kwa muda mrefu,yenye uwezo wa kuondoa...
Hii video hapa inaonyesha namna AI inavyosambaza dawa hospitalini.
Taaluma ya unesi itakumbwa na dhoruba. Manesi watapungua sana idadi, maana kwa kweli zaidi ya 75% manesi hutumia muda mwingi...
Habari zenu ndugu na mnaendeleaje na hali huko mliko?
Niende moja kwa moja kwenye mada naomba msaada WA kuweza kuficha app kwenye simu YA android huku inafanya kazi.
Na jee nawezaje kuifichuwa...
๐๐ฐ๐ต๐ฎ๐ป๐ฎ ๐ป๐ฎ ๐ง๐ถ๐ธ๐ง๐ผ๐ธ ๐ธ๐๐ป๐ฎ ๐ฎ๐ฝ๐ฝ ๐ถ๐ป๐ฎ๐ถ๐๐๐ฎ ๐ซ๐ถ๐ฎ๐ผ๐ต๐ผ๐ป๐ด๐๐ต๐ ๐ถ๐ป๐ฎ๐๐ฎ๐๐บ๐ถ๐๐ฎ ๐ธ๐ถ๐ฐ๐ต๐๐ฎ ๐๐ฎ๐บ๐ฎ๐ฟ๐ฒ๐ธ๐ฎ๐ป๐ถ
Wachina wanazidi kuwahumiza vichwa marekani ๐ฅฑ
Baada ya TikTok kuwa kwenye mpango wa kuondoshwa, watumiaji wa marekani...
Wakuu mko salama
Iwe application ya simu, desktop application, web systems zote hizi nazitengeza...
Cost za server na bundle ni juu yako application ikikamilika ndo tutagawana faida
Salam wakuu,
Mwaka Jana rasmi niliunganishwa na Tanesco umeme nikaanza kupata huduma. Waliniweka kwenye Ile tariff ambayo ukiweka umeme wa elfu kumi unapata units 28. Sasa ndugu zangu changamoto...