Msaada tafadhali.
Je ni site/njia ipi salama inakubali malipo Toka Paypal ili ku_diposite katika Perfect Money Account.
Nawasilisha kwenu wana JF.
:help::help:
wadau kama swali linavyojieleza hapo juu.
Kuna email muhimu nimeifuta kwa bahati mbaya mpaka ktk trash box nako niliifuta.
sasa naihitaji na sina namna ya kuipata kwa aliyeituma.
Msaada wenu wakuu
Habari zenu ndugu wanajamvi, Nahitaji kurudi darasani siku zijazo kwaajili ya masomo ya ict na lengo langu kuu ni kwenda kujifunza hasa namna ya kumeneji network. Kutokana na muda kuwa mdogo...
Apple Will Announce Its Next iPhone on September 10By Steve Kovach | Business Insider 8/10/2013
Email
4
Print
RELATED QUOTES
Symbol
Price
Change
AAPL
454.45
-6.56
AP...
wife ana suzuki swift la 2004, taa ya EPS kwenye dashboard mara ya pili inagoma kuzima mpaka aendeshe kwa kilomita kadhaa azime na kuwasha tena ndio inazima. Sielewi hii taa ya EPS inamaana gani...
Ni decorder gani kati za ting, zuku, digitek, continental, star times na easy tv ambayo ni nzuri sana yenye channel za kuonyesha mpira hasa ligi ya uingereza. Na pia naomba price za kila moja na...
nimerudi likizo home. nimekuta mdingi kaweka dish lile jeusi kama wavu wavu hivi (sijui ni futi ngapi ila ni kubwa)
alishauriwa na fundi aweke kila chumba kingamuzi (akanunua vinne vimeandikwa...
Muda sio mrefu kumekuwa na link moja facebook yenye picha chafu za ngono ambayo unaweza kuta imewekwa na rafiki yako na ukajiuliza kwa nn aweke..
hii ni spam ambayo hacker wame spread kwa...
wandugu nimeuliza hv ili tujuzane coz hzo system dizain ka znapotea hv kwa sababu ya droid na ios kwa kiwango fulani. Nakumbuka cm nying za nokia nizotumia ndo zlkuaga na java au symbian.
Wadau nimejaribu kufungua website ya OUT na avast anti virus imeblock na kuniarifu kuwa imezuia Trojan virus.
Kama kuna mdau atusaidie na nilifanikiwa kuifungua kwa kutumia ubuntu ila baadae...
Natumia Toshiba Laptop, kuna software inaitwa PC health monitor inatabiri HDD yangu aina ya Toshiba itakuja kuaribika au kufa. Sasa kitu ambacho kinanichanganya hii HDD naiona inamendeleo mazuri...
Heshima zenu wakuu!
Naombeni nijue kuhusu masuala ya programming je yana chance gani ya kujiajiri au kuajiriwa tanzania?
Na je kwa huku tunakoelekea hali yake itaendelea kuwaje? Meaning...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.