Kampuni ya Meta ambayo inamiliki mitandao hiyo imebainisha kuwa watumiaji wenye Tiki ya Bluu watalazimika kulipa Dola 11.99 (£9.96) kwa mwezi au Dola 14.99 kwa watumiaji wa iPhone
Huduma hiyo...
Hello Geeks!
Leo tuongelee huu uwanja wa tech kama kichwa kinavyoeleza.
Naamini kila mmoja anajua maana ya programming.Kwamba unaandika instructions katika computer(programs) ili iweze kukupa...
Serikali inasema wao ndio hawajakamilisha document na Starlink wanasema wao kila kitu tayari wanaisubiri serikali.
Kama tumesahau niwakumbushe ni serikali ndio inamiliki mkongo wa Taifa kupitia...
Nimepoteza password ya email, nimejaribu kutafuta nikaambiwa niweke namba ya Simu niliyoitumia kipindi nafungua email bahati mbaya namba pia nimeisahau.
Naomba msaada kwa wajuzi nifanyeje?
Za muda huu wakuu
Nimekuwa nikiona simu mpya brand Kama iPhone , mfano iPhone 8 mpya full box mtu kapewa zawadi ..nilijaribu Google naona Ni simu ya muda Sana
Je Ni refurbished hizo simu au...
Nawasilisha, simu yangu inanidai kui"update" ila nimeona nipotezee kwakuwa nitakutana na vikwazo vya matangazo ya lazima ambayo yatatokana na launcher na Apps zingine ambazo zitahusishwa kwenye...
Uwezi kufanikisha kila kitu kwa wanadamu.kipindi toleo la simu ya apple iphoneX kwa mara ya kwanza inatambulisha mfumo mpya wa ulinzi kupitia FaceID ilishawai kushindwa.
Kushindwa kwake sababu...
Kumekuwa na maneno mengi mitaani juu ya umeme unaozalishwa kwa nguvu ya jua watu wengi wakisema ni umeme mdogo na hautoshi.Fikra hizi si za kweli, umeme unaozaliswa na solar panels unatosha sana...
AVO28
Kwanza heshina ziende kwa bloggers wote wakubwa kwa wadogo ndani forum hii, nimekua nikisoma mada na comments na zimekua zikinifunza vitu vingi tu,
Historia yangu katika blogging ni ndefu...
Huko nyuma kupata blue tick ilikua ni ishu, lazima uwe maarufu sana ama uwe na followers wa kutosha ana kiongozi wa siasa ndio ulikua unapata blue tick. Kipindi hicho kupata blue tick ilihitajika...
Kheri ya Mwaka Mpya Wakuu , Samahani Nahitaji Msaada kama Kuna namna Ya Kuirudisha Tena WhatsApp Hewani Ya Namba Ambayo imepigwa Permanent Ban WhatsApp .
Kama kuna Mtu Anaweza Naomba Msaada Wake...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.