wakuuu naomba msaada hii tv ni tcl kama smart ila ina youtube za kichina yan kila kitu hata movie za kichina ni muundo wa smart msaada mana naona sielew ni feki mwanzo mwisho mana ni full kichina
Wanabodi,
Heri ya Pasaka,
Mara moja moja huwa ninatembelea Kituo cha TBC kwa shughuli zangu, leo Jumapili ya Pasaka nimepita pale na kuushuhudia bonge la OB Van mpya ya Kufa Mtu ikitua TBC...
Katika maisha yangu, tangu nianze kufanya kazi kama web developer sikuwahi kubahatika kufanya kazi na mtanzania yeyote mbali na ile task ndogo ya Mkaruka ambayo aliileta hapa jamvini inayohusu...
Wakuu habari za mida hii, Nina app yangu tayari ipo Play store ila nahitajj kuweka ads za Facebook ila nimeshindwa, mfumo wa app unahitaji matangazo ya Facebook yaunganishwe kupitia iron source...
Ni ukweli makampuni mengi ya simu yaana ushindani mkubwa sana na kila siku wanapenda kuwaletea update mpya Ili kufanya simu zao ziwe bora zaidi kiulinzi na vitu vingine.
Lakini hapo hapo...
Wandugu habari
Natumia iphone8 shida nayopata ni Mwamba nikiwasha data huwa unapata sana joto… tatizo inaweza kuwa nini wajuzi wa mambo
Naomba msaada wenu
Hello wajuzi wa mambo,
Mimi ni mkazi wa Dar es Salaam, kutokana na hali ya hewa nafikiria kufunga mfumo wa AC nyumbani (sebuleni) kwa kuanzia.
Hata hivyo nimekuwa nikisikia mengi, mf; AC...
Wapendwa naomba mnisaidie filta nzuri ya camera ya iphone!
Naona wenzangu wakipiga picha zinakua nzuri ila mie na iphone yangu natoka kama nilivyo!
Naomben msaada nidownload filter moja matata...
Salaam wanajukwaa wenzangu,
Nimekuwa nikitumia startimes app kuangalia matangazo ya mpira live lakini napata changamoto ya kuona picha ndogo kwa sababu sipati full screen, nifanyeje wadau? Mwenye...
Redio ya kwanza inayotumia Mfumo wa Mawimbi ilianza kurusha Matangazo Mwaka 1895 baada ya Mvumbuzi Guglielmo Marconi kutoka Italia kufanikisha zoezi la Redio hiyo kusikika katika eneo la Kilomita...
Kuna mdau nilikua naongea nae anasema anablog tano hadi nimeshtuka!
Anasema kwa mwezi angalau kuliko alivo kua na blog moja, wadau wazoefu hili likoje?
Habari za muda huu wanajamvi!
Ningependa niende moja kwa moja kwa mada husika pasi na kuwapotezea muda wa kusoma makala ndefu wakuu najua mmechoka na usiku huu
Nahitaji sticker za kubandika...
Habari wandugu, simu yangu sikumbuki niliiweka wapi jana(nilikuwa bize na mgonjwa) sasa bado inaita hadi sasa, nawezaje kuipata?
maeneo nayafahau ila sijui exact place
Alipigiwa na wale matapeli wa mitandaoni wakampiga hela kwa kujidai namba yake inafungiwa kwa sababu inatumiwa na watu wawili na pia kuna hela imekuja kwake akafata maelezo akatapeliwa.
Pia, Kuna...
Wakuu nawasalimu,
Miaka kadhaa iliyopita niliajiriwa, nikafungua akaunti ambayo inaniwezesha kuangalia mshahara wangu na makato mengine kwenye mshahara wangu.
Imepita miaka kadhaa Sasa tangu...
TOFAUTI KATI YA IP CAMERA NA ANALOGY CAMERA
ANALOGY CCTV CAMERA
CCTV kirefu chake ni Closed-Circuit Television,Ni mfumo wa kukusanya taarifa za picha za video katika eneo Fulani kwa kutumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.