Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Nina samsung galax A13 haisomi lain ya TTCL na airtel msaada kwa mwenye ujuzi na hili
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Habari, Kila nikifuatilia tangu uzinduzi wa samsung s23 jukwaa limekua kimya sana kuhusu hizo simu mpya. Kwa maoni yenu je, Samsung wameboresha katika upande gani wa hizo simu? Au hakuna...
3 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari wana JF, Kuna group la FaceBook limefunguliwa ili wanitukane naomba msaada wa kulifuta nikiwa sio memba wa group hilo. Asanteni
3 Reactions
14 Replies
1K Views
Kampuni ya Apple imetoa ripoti yake ya mauzo ya robo yake ya kwanza ya mwaka 2023 iliyomalizika December 31. Roho ya mwaka ya Apple ni tofauti na robo mwaka ya nchi na makampuni mengine; Hivyo ni...
1 Reactions
6 Replies
511 Views
Nimegawa Brands katika makundi mawili. Kundi A na kundi B. Nimezingatia ukongwe au Umaarufu duniani katika makundi haya na Bei zake. A. Samsung Panasonic Sony Hitachi JVC LG SANYO ( TCL na...
2 Reactions
64 Replies
11K Views
Mnisaidie wakuu mlio na uelewa wa brands hizo.
0 Reactions
23 Replies
6K Views
Jamani mwenye uelewa juu ya vitu hivi naomba anijuze kipi ni imara, kipi ni bora kuwa nacho ndani kwako.
1 Reactions
66 Replies
22K Views
Habari zenu wana Jamii forums, naomba kuuliza jinsi ya kuuconect sauti ya tiv kuja kwenye radio msaada plz
0 Reactions
13 Replies
30K Views
Wakuu nipo na tablet Nokia T20 tablet hapa, nilikuwa naistall programs kwenye hii tablets..sasa nimepata shida jinsi ya kuiafany hii tablets niweze kupokea na kupiga cimu, pia kuweza kutumia...
0 Reactions
17 Replies
920 Views
Salaam, Kama una uwezo wa kutengenenza 3D models unahitajika kuna task inatakiwa kufanyika, na malipo utapata baada ya kazi. Na kama utafanya vizuri, utakuwa unapewa task za mara kwa mara. Hii...
1 Reactions
7 Replies
414 Views
[INTERNET] Network Error: A connection attempt failed because the connected party did not properly respond after a period of time, or established connection failed because connected host has...
1 Reactions
4 Replies
590 Views
Wakuu naomba mwongozo hii feature inanisumbua kutumia.
1 Reactions
1 Replies
326 Views
Mwenye link ya free apk ya dls 2023 anitumie nmejaribu kuchek playstore wanauza.
0 Reactions
6 Replies
523 Views
Wakuu habari za jioni poleni/hongereni na shughuli za hapa na pale naomba kuuliza yoyote ambae ana duka la accessories za simu au anafahamu napoweza kupata hizi lightining wired earphones original...
1 Reactions
0 Replies
320 Views
Habari wakubwa, kwanza poleni na majukumu ya kujenga taifa. Moja kwa moja kwenye mada nafahamu kuna watu wanofanya programming humu ningependa tuweze kushare kwa pamoja iweze kutusaidia kwa ambao...
1 Reactions
5 Replies
511 Views
CHAJA hiki ni kifaa unachokitumia kujaza kifaa chako cha umeme baada ya nguvu ya betri kupungua.Vifaa vya umeme vitumiavyo chaja viko vingi vifuatavyo ni baadhi tu mfano;simu ya mkononi, tablets...
2 Reactions
2 Replies
671 Views
Wakuu habari ya nyie, straight to the point, nna mpango wa kuchukua PC itakayo weza kufanya majukumu yangu ya hapa na pale, main role ya PC yenyewe ni ku browse internet, reading documents na...
1 Reactions
13 Replies
762 Views
Nilihisi shock kidogo nilipokuwa nikichomeka bulb kwenye holder yake richa ya kuwa switch yake ilikuwa OFF. Nikahisi switch itakua closed hata kama iko off. Nikachukua tester ambayo iko rated...
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Naomba maoni yenu nifanyaje, window inakataa Kuinstall kila ikifika asilimia 70. Je, nifanyaje hapo? Chief-Mkwawa
2 Reactions
23 Replies
1K Views
Wadau naombeni ushauri wenu nahitaji kununua simu Kati ya hizi mbili nichukue moja tu, mzigo wa pesa umetema January hii mapema tu mwaka nauanza vizuri. Zikiwa zote ni gb 516 internal storage...
8 Reactions
155 Replies
12K Views
Back
Top Bottom