Au ni kwangu tu DSTV inachelewa sana kuwaka yaani inachukua dakika hadi 3 hivi na mbaya kama mpira unauwahi unakuta goli sijui nini jamani nifanyaje nirekebishe au
Habari wanabodi,
Niende moja kwa moja kwenye mada, nimenunua simu (Pixel 6 pro) kutoka ebay.. wakati nanunua muuzaji alidai kwamba simu ni Open Box na haijawahi kutumika na ni UNLOCKED.
Simu...
“The phone is not running Samsung’s official software. You may have problems with features or security and you won’t be able to install software updates”
Je hakuna madhara yoyote kwa baadae?
Je...
Nina thousands of documents, nyingine hata kuzipata ni kazi japo za muhimu.
Kuna namna naweza kufanya? Au Kuna application inaweza kusaidia? Naiingizaje hiyo application?
Any one with experience ?
Mtanzania mwenzetu abuni umeme utokanao au kwa kutumia sumaku?
sijaelewa kama njia hiyo kwani haikuwepo? na je hakuna kabisa chanzo kingine cha energy kama mafuta, upepo , au hata...
Glyphosate has already been proved to spread into the ecosystem, and now has been detected in wildflowers and pollen.TPRI and TBS please take immediate action.
Thursday, January 26, 2023...
Habari wanajukwaa, kwa wale wapenzi wa music production tupeane mawazo mapya kwenye utengenezaji muziki, kuanzia utengenezaji wa melodies, drumkits na sounds nzuri zaidi.
Vilevile sound engineers...
Yani hata hizi gb 60 kwa mwezi kwangu ni ndogo najibana, ingekuwa najiachia basi kila nikitoka kazini navyopumzika kwa saa nikimruhusu mtoto acheki katuni zake kwenye Netflix 4k kwenye tv basi...
Wale wa FIFA 22 na Mortal Kombat...na wale wa hii michezo ya Online kupitia kampuni na platform mbali mbali.. ukiachana na teknolojia inayotumika,kuna utofauti gani watu wangu?
wadau habari,ninaomba msaada kila ninapotaka kupiga simu kwa kupitia mtandao wa voda kuna maandishi yanatokea yameandikwa ACM limit exceeded,naomba mwenye kufahamu jinsi ya kuondoa tatizo...
Kituo cha Mtandao cha Kitaifa cha Uingereza (NCSC) kimetoa angalizo kwa watu wa tasnia hizo kufanyiwa udukuzi wa kijasusi kwa lengo la kukusanya taarifa mbalimbali
Imeelezwa wadukuaji wanawalenga...
Naomba msaada wa kupewa contact information ya fundi/garage nzuri yenye kifaa (computer) kwa ajili ya kufanya On-Board Diagnostic kwa Subaru Forrester. Taa ya check engine imekuwa inawaka kwa wiki...
Natumai mu wazima, naombeni ushauri.
Lipi jiko bora kati ya haya Home base na Mr UK?
Wazoefu wa haya mambo naombeni msaada ndugu yenu nimekwama, kwakuwa wengi humu ni wajuvi wa hizi mambo...
Wasalaam wadau,
Natafuta, screen replacement ya ULEFONE Note 11p ( Ulefone Note 11P - Full phone specifications) , hii ni baada ya kioo kilicopo kuacha kufanya kazi baada ya simu kuanguka...
Habari wadau,
Nataka kufungua ka grocery kangu nipate hapo japo mia 2 mia 2, sasa issue napata utata kati ya fridge brand ya Boss au Hisence showcase.
Naombeni wazoefu au wataalam wa hizi mambo...
Habar wadau !!!
Hope wote mpo poa niende moja kwa moja kwenye mada nadhani wengi kati yenu mnatuia outlook na karibu ofisi nying zinatuia outlook for person and office work
Mi kinachoniudh...
Nahitaji kuagiza Alibaba kamera ya kupiga picha za mnato na video namm sio mzoefu sana ila kwakua najifunza nimeona ni bora niwashilikishe.
Pesa sio tatizo ila nimeingia mtandaoni nikaona Canon...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.