Habari za muda wakuu nimetokea kuvutiwa Sana na brand za Xiaomi kuna hii Xiaomi mi 9 SE mwenye nayo amabayo IPO clean condition aje DM tuyajenge Zaid
Happy new year there few hours hours remain
Wengi wetu tumekuwa tukinunua simu bila kujua tunaenda kutumia kwa ajili gani.
Yani unakuta mtu ana simu, tablet na laptop vyote ukimuuliza hana jibu.
Sio kosa kuwa navyo ila je unatumia kwa...
PC yangu imeharibika housing. Nikiifunga na kufungua ndio inazidi kuvunjika.
Je, ni wapi naweza kupata housing mpya au used? (Ni housing ya plastic)
Makadirio ya bei ni kiasi Gani?
Na gharama za...
Habari za muda huu wajuvi. Nawasilisha hii changamoto japo simu imenunuliwa mkononi bila kujua tatizo naomba msaada niweze kulitatua.
Matatizo yake ni muda mwingine inaleta notification ya No...
Habari wanateknolojia.
Karibuni Ozone Technologies mjipatie vioo vya laptop. Vioo vyetu ni vipya, na vyenye ubora. Ukinunua kioo kwetu, Tutakupatia na ofa ya kukufungia bure kabisa.
Bei ...
Za asubuhi wadau natumaini mumeamka salama salmini
Nilikuwa na mpango wa kuagiza redio za jbl katika peruzi zangu huko mtandaoni nikakutana na hawa jamaa wa Ali express naona bidhaa wanuza bei...
Some P2P programs automatically share everything on your computer
Thousands of Americans may unwittingly be sharing personal medical and financial information stored on their home computers...
Habarini.
Nimewaletea simple system inayokuasaidia kuandika cover letter kwa kazi ambayo unataka kuomba.
Unachotakiwa kufanya ni kupaste link ya kazi unayotaka kuapply, andika jina lako na...
Habari wataalam,
Naomba msaada simu yangu kwenye mitandao ya kijamii kama facebook na instagram kuna baadhi ya maandishi hayasomeki inatokea alama tu kama zinavyoonekana kwenye picha hapo chini.
Kampuni ya HMD global leo imezindua simu mpya ya Nokia 6 huko china.
Nokia 6 Specifications:
5.5-inch FullHD screen (2.5D glass, Gorilla Glass 3)
154 x 75.8 x 7.85 mm (camera bulge 8.4 mm)...
Okay wakuu, nimejaribu kudownload hizo setup kwenye pc maana nahitaji kufanya update ya driver kwenye pc lakini naona hizo nilizodownload zina mambo ya kulipia.
Sasa nauliza je kama kuna njia...
habari ya mwaka mpya wakuu, nimekutana na SAMSUNG used from dubai bei nafuu kidogo mana zile fullbox bei zake ni "sugunyo" itanilipua, nimefanya ka udadis zile simu zina dot. naombeni wenye...
Hellow guys,
Msaada kidogo; nataka niwe natumia iMassege tu, yaani mtu akitaka kunitumia text most awe na bando kama ana bando zisifike kwangu.
Anayejua ku-set, please.
Jana nimeangalia event ya uzinduzi wa galaxy S22 kiukweli hakuna cha maana sana cha kumfanya mtu atoke S21 ultra kwenda S22 ultra.
Kama ilivyokua kwa iphone 12 pro vs 13 pro kwa hii model ya...
Salaam wakuu
Naomba mwenye link ya KineMaster apk tafadhali ili niinstall kwenye simu yangu maana nimejaribu kudowload inakubali lakini kuinstall inagoma
Sent from my 2201116TG using JamiiForums...
Acheni kabisa kuhusu huu mtandao. Aliyeutengeneza huu mtandao alikaa chini na kuumiza sana akili. Yaani ndani ya TikTok kuna vitu amazing.
1. Movie kama zote, yaani ukiuliza hii movie inaitwaje...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.