Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Nahitaji usaidizi...pc yangu dell mini kila aina ya usb nilizojarib hazisomi zinachaji tu. Namaanisha data cable halafu nikiwasha inachukuwa muda mrefu sana kuonyesha window ili niweke nywira...
0 Reactions
2 Replies
284 Views
Habari kwa wana bodi wa Jf, Naomba niingie moja kwa moja kwenye mada. Hivi majuzi nilikuwa najaribu kuingiza vitu kwenye flash yangu (8Gb) baada ya kumaliza nilirejea nayo nyumbani. Kimbembe...
2 Reactions
10 Replies
555 Views
Nina iPhone 11 Pro wakuu, nahitaji nitumie Apps za Android, nifanyeje? Mwenye uelewa tafadhari!
1 Reactions
39 Replies
2K Views
Wakuu naomba kueleweshwa kwa wenye uelewa juu ya hili, nimekuta namba yangu ya simu imewekwa kwenye call forwarding to +255128 & +255121 ilihali sijawahi kumpa mtu simu yangu aishike, mwenye...
1 Reactions
9 Replies
4K Views
Wapenzi wa Redmi phones mbona kama redmi note 12 ina specification za kawaida sana kuliko predecessors wake yani note 10 na note 11? Au tusubiri kwanza global version? Specification za kawaida ni...
3 Reactions
29 Replies
4K Views
Tangu tarehe 5 walipoachia .iso ya win11 ambayo wengi tulikuwa tunaisubiri kwa hamu nilifanikiwa kui install. Baada ya siku mbili zakufanya majaribio ilibidi niitoe nirudishe win21H1 sababu ikiwa...
1 Reactions
11 Replies
1K Views
Naomba kuuliza, hivi kuna online meeting ambayo unaweza kuamua ni nani awe kwenye meeting?? Maana mfano Microsoft teams yeyote mwenye app ya Microsoft teams akitumiwa link anaweza akajoin meeting...
0 Reactions
3 Replies
529 Views
Habari nimeona ni share na nyinyi hii, Katika ushindani wa soko la simu kampuni nyingi za simu zimejikuta zikitoa simu zenye kushabihiana sifa. Kwa leo tuliangalizie kwa ndani simu aina ya Infnix...
16 Reactions
191 Replies
24K Views
Bram alizaliwa mwaka 1975 huko Dream country USA huku baba yake ni mwandisi wa kompyuta na mama yake ni mwalimu. Baada ya kufikisha miaka 5 Bram alikuwa amewiva kujua lugha za huandisi wa...
3 Reactions
9 Replies
861 Views
Katika utafiti wangu nmegundua watu wanaomiliki simu za tecno wamezidi kupungua siku hadi siku. Japo kuna wale wanaotumia tecno zilizochangamka kama ifinix nk. Hii imeenda sambamba na kuongezeka...
12 Reactions
103 Replies
8K Views
Kwa muda mrefu nimekuwa nikitamani kutinga kwenye uwanja, nimekuwa nikicheki interviews za lisaa ama zaidi kwa bloggers waliofanikiwa na kiukweli natamani walau nipate walau hata theluthi ya...
6 Reactions
55 Replies
3K Views
Habari zenu, nimeona hii huduma ikiwa inajadiliwa sana humu ndani na ningependa kujua kama naweza kuitumia kwenye simu ya mkononi? Ni kwa matumizi ya familia nikiwa nyumbani hasa kuanzia mida ya...
2 Reactions
10 Replies
907 Views
Natoa salam kwa wana jamvi wa Jf kwa ujumla, specifically nazitoa salam kwa wana jukwaa wa Tech. Tukiachana na salam, naomba niende moja kwa moja kwenye mada tajwa. Naomba kuuliza je, ni aina...
0 Reactions
0 Replies
702 Views
Nuru ni lugha ya programu ya Kiswahili. Inafanana na lugha zingine kama python na javascript, tofauti ikiwa imetengezwa kwa Kiswahili. Lugha hii imetengenezwa ili kuwawezesha wazungumzaji wa...
5 Reactions
6 Replies
1K Views
Habari wana jamvi, Mimi natumia Microsoft Office 2016 kwa sababu ya shida. Pia ni mpenzi wa kutumia Outlook kwenye mambo yangu binafsi. Ni mwezi sasa nimesitishiwa huduma ya login to Outlook mail...
0 Reactions
3 Replies
709 Views
Splinter Cell Konviction ndo ilikuwa game yangu ya kwanza kucheza kwenye Xbox kwa ndugu yangu mmoja hivi. game ilinivutia sana maana walikuwa wamebadilisha mfumo .waliocheza vitu kama Chaos Theory...
2 Reactions
27 Replies
3K Views
Je, naweza kupata administrator password kama ameshaisahau au haijui ili isije kunipa shida kwenye kuweka window? I mean password ya BIOS
0 Reactions
14 Replies
465 Views
Kuna simu nilikuwa nayo ikapotea na lain Kila kitu. Ila baada ya kupata simu nyingine nikawa nahitaji kurudisha baadhi ya account ikiwemo ya Twitter pamoja na Whatsapp. Kwa mfano nimejaribu...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Mwenye kujua jinsi ya kupata simulation game la x-plane 11 &12 anisaidie maelekezo tafadhari bila kusahau installation ya drivers zake. Asante
1 Reactions
3 Replies
462 Views
Back
Top Bottom