Guys nimekuwa nikihangaika sana kupata baadhinya apps ambazo ni premium zinazohitaji kulipiwa kabla na hata baada ya kuwa nazo kwenye simu.
Sina uwezo wa kuafford kulipia ili kupata baadhi ya...
Wakuu kheri ya mwaka mpya, Nakiri kua sisi tulio humu tunatofautiana maarifa pamoja na jicho la kuiona fursa.
Mimi hapa Naomba mwongozo, Nina account "page"Facebook inayo jihusisha na maudhuhi ya...
Habari za siku kuu wa tanzania wenzangu.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza,kama tunavyoelewa kadhia ya joto majumbani kwetu ina fika kipindi ina kuwa taabu.
Sasa wadau nawaza kipi bora...
Kama kichwa Cha habari kinavosema, naitamani sana kuroot simu yangu ya samsungu na nimesoma makala nyingi sana kuhusu faida na hasara za kuroot simu na nimejiridhisha kiasi Cha kutosha na sababu...
Samahani wakuu naomba msaada wa kujua Kuangalia ni kwa jinsi gani profile yangu Ina asilimia ngapi ya ukamalifu kwenye mtandao wa upwork, kwa kutumia application yao ya simu.
Nina channel yangu ya Youtube ina Subscribers 8k
Watchtime 2000
Inaitwa: Story Za Raja
Aisee kama una 100k nakuachia channel maana nimepigika sijawahi ona.
Hapo katika dishi la c band hilo kubwa ni uelekeo wa Azerspsce degree 45 e hapo unapata Clouds tv, Star tv, Channel ten, tv E, Mwangaza na Wasafi tv bila malipo kwa mwezi.
Hilo dishi la kushoto...
Ulishawahi ni kitu gani kitatokea kama tu rocket itakwenda angani moja kwa moja bila ya kufuata mkunjo wa dunia yetu.
Huenda itakwenda bila ya kufikia mwisho na matokeo yake itaishiwa na mafuta...
Oya let's share wewe kwa maono yako unaona aina gani ya tovuti zimesahaulika kuundwa ili maprogrammer wetu waweze kufix mambo? kinara wetu
Chief-Mkwawa
Binadamu Mtakatifu
Hawa ndo ninaowajua humu...
Habari za muda huu wana JF,
Kheri ya mwaka mpya wote tuliovuka salama, natumai mko salama.
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza naomba msaada kwa yeyote aliyewahi kutumia Nokia NSeries naomb...
PC yangu haikubal kuapdate virus protection.inaload tu ila haianzi kuapdate au inahitaji network nzuri ya kutosha? Au nini shida?
Ona hako kaclip hapo chini👇
Wakuu hali sio nzuri Kwa shughuli ya YouTube Tanzania hapa.
Idadi ya Views imekuwa ndogo Sana. Naomba Mwenye wazo la Aina ya Content Bora ya YouTube channel aishushe hapa.
Habari wakuu, msaada tutani. Naomba mwenye setups za Adobe(PS, XD, Illustrator na Premiere) ambazo ni cracked, anisaidie.
Nipo Dar es Salaam. Nijulishe tuyajenge DM. Nitakujali hela ya maji ya...
Whatsapp Chats, Voice notes, Video calls na Calls za kawaida unazoweza kufanya kupitia Whatsapp ,Je huhifadhiwa katika server za Whatsapp?
Na kama nikitaka kufanya backup ya chats, voice notes...
Habari za mda huu ndugu zangu, najua mko poa kuelekea kusherehekea sikuu ya Xmas na Mwaka mpya
Wakuu kama kichwa cha uzi kinavojieleza naomba kujua je,!? Kuna hizi zinavoonekana kweny picha...
Baada ya kuwa muoga kwa siku kama Tatu hivi hatimaye nilikuweza ku-root simu yangu ya Samsung Grand quattro Hii ni Baada ya kuona sikipati ninachokitaka kwenye haya MASIMU YA "KIMASKINI" ikanibidi...
Habari wakuu,
Naomba ushauri wenu majuzi kati nilipata vijesent vyangu nikanunua tv ya hisense sasa nimetumia wiki mbili tu.
Juzi wakati nataka kuunganisha na subwoofer nashika wire naona tv...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.