Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Download Windows 8.1 Preview - Microsoft Windows
0 Reactions
52 Replies
7K Views
Wakuu naomba msaada nimenunua hivi karibuni simu blackberry bold 9900 cha kushangaza inakunywa betry balaa...nimeingia kwenye advanced settings options na analysis inayofanya ni kwambwa inanyonya...
0 Reactions
23 Replies
2K Views
Wakati natumia PC kunafile niliselect nikakomand adobe ili isome ilo file,matokeo yake icon za kwenye desktop zikabadilika na ukizifungua zinafunguka kwa kutumia adobe,yan icon zote isipokuwa ya...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Anayejua link ya kudownload mortal kombat 9 naomba msaada jamani
0 Reactions
4 Replies
791 Views
nimepata simu ila ina MOVISTAR kitu kinacho ifanya isi accept setting za internet mitandao ya nyumbani kwa yoyote mwenye utalaam wa kufanya simu hii ikubali internet naomba anisaidie namna ya...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
jamani nahitaji msaada jinsi ya kuunlock nokia E90 kuna mtu ameichokoa akaweka wrong password, msaada wanajamii
0 Reactions
0 Replies
601 Views
Mi na shida kidogo kuna vitu nikiistal kwenye my fon (samsung gallaxy s iii mini) naambiwa co rooted phone..so nafanyaje ili iwe rooted phone plz anayejua anisaidie
0 Reactions
18 Replies
2K Views
Wakuu nawasalim... Naomben mwenye kujua vzur juu ya hz cm za htc nimeziona ila bado Sijajua features zake vuzur. pia nahitaji kufahamu kama zipo za double line au vp Nawazilisha....
0 Reactions
28 Replies
3K Views
Nina equipments mbili nilizokua nazitumia ku connect internet kupitia kampuni ya iway africa (Afsat communications) Kwa sasa nimesitisha huduma na hivyo nauza hizo equipments kwa mtu au taasisi...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Nimeuziwa hii simu ila ilikua Note For Sale kwa maana ya kuwa ilikuja kama sample. Sasa sehemu ya kuweka sim card imefungwa na pia tundu la line ni dogo sana. Wataalam naomba maujanja yenu tafadhali
0 Reactions
15 Replies
2K Views
Soma IT nyumbani kwa muda unaopenda mwenyewe - Video training courses hizi hapa. Jifunze kozi yoyote ya IT popote ulipo without need to attend daily classes! alphonce.NET - IT video training site
0 Reactions
17 Replies
2K Views
natumia huawei ascend y300 ambayo ina android jelly bean. nimekua napata usumbufu kwenye kudownload. wakati mwingine inakua slow, wkt mwingine inakataa kabisa. cha kuchangaza speed ya kuload...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
habarini za jioni wakuu!ninaomba msaada anaeweza nijuza jinsi ya ku crack m/s office 2013 maana nili download bila ya kuiactivate na mda wake wa majaribio umeisha so inanisumbua na nitshukuru sana...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
najua watu wengi humu munazo simu za symbian (maarufu n na e series) na muna apps nyingi lakini leo ntawapa app chache za symbian ambazo ni very important na nkipata mda zaidi nta update 3d...
1 Reactions
98 Replies
13K Views
Nimekuwa nikijiuliza hili swali binafsi bila kupata majibu leo nimeona niwaulize wataalamu naamini nitapata majawabu kama sio majibu! Je, kwa nini unapochomeka ''baterry'' kwenye Laptop huwa...
0 Reactions
0 Replies
753 Views
za majukumu membez wa jf.... Naomba kwa mwenye kuijua vizuri hii simu anisaidie,maana nimeona kwenye picture tu, nimejaribu ku google lkn kiu yangu ya kuijua zaidi haijaisha, nawakilisha....
0 Reactions
8 Replies
2K Views
Ndugu wana jf nimefungua email ya gmail lakini tatizo haiattach icture wala file lolote,naomba msaada. Asante
0 Reactions
2 Replies
932 Views
Wasalaam wakuu wa kazi a.k.a JM Members Naomba msaada tutani, I'm trying to get my phone working with my laptop, but when I try to get bluetooth working I have a missing Bluetooth Peripheral...
0 Reactions
1 Replies
713 Views
Nimeitumia hii application kwa wiki sasa ni nzuri lakn naona bado inabugs nyingi. 1.Inacrush sana.. 2.Inaload muda mrefu sana. 3. Na zile animoticons (:) ) zinaonekana nusu. 4.Inasumbua...
3 Reactions
10 Replies
2K Views
natumia tecno p3,msaada tafadhali,manake nataman sana kufanya screen shot kwenye cm yangu
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Back
Top Bottom