Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Nina matatizo mawili. Kwanza; Kwa zaidi ya mwezi sasa compyuta yangu aina ya dell (ambayo nimeitumia kwa zaidi ya miaka miwili) imekuwa too slow na tena hata kufungua internate ni shida kweli...
0 Reactions
3 Replies
951 Views
wadau naomba mnijuze kama inawezekana kufungia dish king'amuzi cha startimes.
0 Reactions
1 Replies
841 Views
Habari zenu wanajamvi? Kwa kweli mimi ninapumua,Samahani saana nimesikia kuna uwezekano wa kutengeneza wireless kwa kutumia modem bila routers!plz how can this be done? natanguliza shukrani za...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
.
NDUGU ZANGU NAOMBA MSAADA NAMNA YA KU-UNLOCK MODEM YA AIRTEL HUAWEI e153u-2 PERMANENT.
0 Reactions
0 Replies
621 Views
Wasalaaam wakuu wa kazi. ISP gani mzuri na internet yake ipo efficient, awe na router kwasabau ofisi ina computer zaidi ya kumi na zote zinaitajika kupokea mawimbi ya internet. Ofisi ipo maeneo ya...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wadau. Nina tatizo na laptop yangu aina ya compaq presario F700 refurbished to F750US yenye windows 7, 32-bit os, 2.4gb ram, amd athlon (tm) 64 x2 dual-core processsor tk-57 1.90ghz...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Niliwasha Laptop yangu, ikawaka vizuri. Baada ya kuiacha kwa muda wa kama dak 5, ika-Sleep. Nilipotaka kuitumia sasa ndo nikashangaa kuona hai-display kitu kwenye screen. Nikajaribu kuizima...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
naombeni kusaidiwa wataalam jaman. nina sumsang min laptop imegoma kupokea usb yotote. siwezi hata badili window kwa sababu hauna mlangi mpaka mlangi wa nje. na usb zote zimegoma. nifanyeje...
0 Reactions
7 Replies
926 Views
wakuu kepeskic ant virus yangu ime exspire naomba mwenye code namba zake anitumie ili niapdate ya kwangu
0 Reactions
7 Replies
969 Views
Wadau! Humu ndani kuna wataalam mbalimbal wa masuala haya,shida yangu nahitaj computer ya mezan( desktop) kwa ajili ya matumizi ya nyumbani hasa kujisomea (online), sasa wataalam ninunue komputa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ladies na Magents wa Tech, Gadgets & Science Forum, wasaalam! PC yangu inapoanza kuzingua mara nyingi huwa najaribu kuinstall ant-virus na kuscan partitions kwa kadili niwezavyo na inapotokea...
0 Reactions
23 Replies
3K Views
Website nyingine zinafunguka vizuri,isopokuwa jf tu. naomba msaada wana jf
0 Reactions
0 Replies
709 Views
wadau kila niingiza pasword kwenye email yangu ya yahoo inagoma na sio kwamba nimekosea pasword,inaniambia psword or user account wrong its a week now hebu jisaidieni maana kuna jambo la muhimu lana
0 Reactions
5 Replies
250 Views
Wakuu ninatumia Nokia Lumia 520,kila nikijaribu kuingia "STORE" na kutafuta application ya JF ili ni iinstall inaniletea feedback kuwa "we couldn't find a match" Mwenye kufahamu juu ya hili tatizo...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
GUYS NINA External hapa ya transcend hapa imenizingua nikiconnect kwenye PC inasema "DEVICE NOT INSTALLED PROPERLY" then haifunguki..help me out guys how should I start fixing this
0 Reactions
0 Replies
655 Views
Salaam wakuu............huwa na-watch sana movie kwenye simu lakini cha kushangaza imegoma kuonesha wakuu. Nna download manager aina ya multiclip ndio huwa natumia kila siku,nikajaribu...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Waheshimiwa kila ninapo download applications kwenye simu yangu ya Samsung galaxy s4 inaniletea message inayosomeka downloading error (403)... nini litakua tatizo? Msaada please. .
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Habarini za mchana/asubuhi/usiku wakuu. Nilikuwa naomba kwa anayejua bei kamili ya hizi simu dukani au kashaziona kwenye pita pita zake hapa na pale, Angeni saidia kunitajia na pia hata duka...
0 Reactions
19 Replies
10K Views
Realesing Date dis year 2013....septembeR.!! #Stay TuneD...can't wait 2 use iT
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom