Habari
wanajamii Forums!!!!
Naomba kuuliza je kuna kozi inayotolewa
sehemu ihusuyo mambo ya Blog?
Sababu napenda siku moja kuwa Blogger
kama unafahamu hiyo kozi naomba
unifahamishe ili...
Wakuu poleni na shughuli za kutwa, nimatumini mnaafya njema na kwa wale wachache ambao hawana ahueni nahakika mungu atakuwa nanyi katka maradhi na mtapona mwendelee na shughuli kama kawaida...
Internet speed test, router speed max 100Mbps kwa wifi pamoja na Ethernet, cha kushangaza Napata max 18Mbps kwenye Wifi na 38Mbps thru Ethernet Je hii ni kawaida? Note:internet provider...
Nauza iyo simu,ina miezi mitatu toka itoke dukani,ni mpya haina tatizo lolote ina waranty ya mwaka mzima.inauzwa 110,000
atakaye ani pm
au call 0754868040
Mambo vp wadau naomba tips za ku unlock hii cm maana kunajamaa alibadili style ya ku unlock screen na amesahau msaada tafadhali maana tushajaribu maranyingi na anaishia kuambiwa tey again after 30...
msaada wakuu leo nime open with kwenye laptop yangu faili zoto zime zimebadilika nimejaribu ku restore setting lakini sikubahatika kusawazisha hili tatizo kama wewe unajuwa naomba unifahamishe
window failed to start. A recent hardware / software change might be cause. to fix this
1.insert your windows installation disc and restart your computer
2 choose your language
3.clicj repair...
Habari za wakati huu ndugu zangu..mimi ni mkazi wa jiji la dar-es-salaam.
#nina miliki Blackberry Bold (Nyeusi), ningependa kubadilishana na Samsung galaxy au HTC..!!
#### kama unamiliki moja...
shirika la simu la kihispania la telefonica litazindua simu yake aina ya zte open itakayotumia os ya firefox
simu hiyo itagagarimu us dollar 90 around 150.000 tsh,simu hiyo itakuwa na pecs za...
Salamu wana bodi.
Naomba mtu yoyote anajua vizuri simu
inapoandika -79 dBm 35 asu hasa hizi
smartphone inakuwa na maana gani ?
Namba hizi -79 dBm 35 asu huwa zinapanda
na kushuka...
kuna laptop hp 650 na hp ENVY m6 zote zimekuja na window 8, sasa nataka kuweka window 7, kila niki jaribu ku boot from cd inakataa na nikicheki bios nimeweka powa kupitia f10 na kila ki press f9...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.