Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
1. Dial *#0011# 2. press Menu then tap BACK 3. press the Menu again the tap KEY INPUT then enter 1, (wait a few seconds) it auto jumped into service menu. 4. press Menu then tap BACK (not needed...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
wasalam wakuu, nina nokia e71 inagoma kudownload /install app hii ni baada ya kui flash kwa kwa file v.50.21 kwa sasa napata ujumbe unaozikataa certificate,hili ni janga kuna njia rahisi ile ya...
0 Reactions
12 Replies
2K Views
Jamani habari wana jukwaa,naomba mwenye kuzijua hizi tablet za city call kama kuna mtu kashawahi itumia,ina uzuri gani na udhaifu gani,naomba mwenye kuzijua please aniambie zinatengenezewa Hong...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Nina mpango wa kununua iPad mini. Je nitawezaje kununua apps kwa kupitia akaunti yangu ya benki (NBC)?
0 Reactions
1 Replies
783 Views
habari wanajamvi. mie nina ujuzi kdogo wa computer. ila shida yangu ni kutengeneza vitu ama maandishi yenye ubora mzuri zaidi. nimejaribu kwa kutumia powerpoint and office picture management tools...
0 Reactions
2 Replies
854 Views
Heshima yenu wana jf ;;;;ninaomba mnisaiodie jinsi ya kudownloud video sanasana za youtube..
0 Reactions
6 Replies
1K Views
wakuu habari zenu, nina laptop (compaq intel pentium ll) sasa kila nikiiwasha inaniandikia windows fail to start halafu inajizima yenyewe, nikiwasha tena mchezo uleule. kama ikikubali kuwaka...
0 Reactions
8 Replies
1K Views
hv naweza pata hi mashine kutoka kwa nani na sh ngapi ya kitanzania?
0 Reactions
0 Replies
861 Views
Binafsi naamini hakuna kama KMPLAYER katika media players ninazozifahamu. Swali :je kuna player nyingine nzuri zaidi kuliko KMPLAYER?Just curious to know if i'm using the best.
1 Reactions
17 Replies
1K Views
Anyone can access it? I cannot http://tanzania.go.tz/
0 Reactions
15 Replies
1K Views
TBC na STAR TV zmetoweka wiki sasa natumia receiver za mpeg2 strong na midcom ntaweza kuzpata tena kwel? naomben msaada wenu wadau! niko NJOMBE
0 Reactions
31 Replies
6K Views
Inaitwa Voyo A15 (China) Inatumia samsung exynos 5250 processor 2Ghz dual core 11.6 inch 1920x1080 display 2gbram 16gb internal memory Android 4.2.2 Mali T-604 GPU (ya uhakika) USB 3.0...
0 Reactions
0 Replies
831 Views
simu yangu inanishinda kuinganisha na internet ya airtel pia nikituma nyimbo kwa bluetooth zinaenda kwny cm badala ya memory.msaada anayejua wakuu.
0 Reactions
2 Replies
823 Views
notebook harddisk zile ndogo zaidi ya hizi ndogo za kawaida.
0 Reactions
3 Replies
998 Views
habari wanajamvini.. nina katatizo kidogo hapa, kuna Toshiba laptop ukiiwasha tuu inakuambia ufanye set up ya date, time and boot up sequence inatumia windows XP, kiiila siku yaani, na hata some...
0 Reactions
0 Replies
908 Views
Habari waungwana nauliza nina dish la ft 6 euro star na receiver ya mediacom, tayari limeanza kupoteza chanel mojamoja, je kuna namna nawezafanya ili nipate chanel nyingi zaidi au ndio yatakuwa...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
nimesahau password ya usb drvive aina ya * Kingston DataTraveler Secure – Privacy Edition (DTSP) 8gb msaada tafadhari
0 Reactions
0 Replies
595 Views
Solution for Stuck "Preparing to Configure Windows. Please do not turn off your Computer" “Preparing to configure Windows, please do not turn off your Computer” was a Microsoft windows 7...
0 Reactions
0 Replies
22K Views
wadau msaada kwa anaejua wap ntapata kioo cha ndan cha tv kimepasuka ni samsung lcd na wino umevia ndani! so kwa anaejua wap ntapata na bei yake ntashukuru sana
0 Reactions
2 Replies
932 Views
Ni cm aina ya tecno t 721 nikijarib kupiga line one inakata na kuleta ujumbe acm exeeded.
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom