Jamani nimepata hii mobile broadband ya HUAWEI ni Vodafone mobile Wi-Fi R201 inatumia laini moja ya vodacom
Sasa naombeni msaada ku-unlock hii modem niweze kutumia mitandao tofauti.
Msaada...
Kuna micontacts imeng'ang'ania kweny contacts list yangu na sitaki kuiona. Mtu sio rafiki yangu sina namba yake ya simu lakini namuona kwenye list yangu, sitaki.....mwenye kujua jinsi ya kufutilia...
Wadau,
Nilikua naangalia social network ambayo ipo hot now achilia mbali Facebook na Instagram nikaikuta hii site inaitwa "Pheed" ambayo unapatikana katika googleplay na Applestore.
Kiukweli ni...
wadau nimehangaika kutafuta remote ya hiyo receiver nimekosa nimebonyeza pale kwenye zile botton zake nikafanya auto scan nimepata channel lakini eatv na itv hazna sauti nimejarb kuchange waya za...
Waugwana niliomba msaada hapa wakati nilipohitaji kununua Huawei ya Tigo na nashukuru kwa maoni yenu.
Nimenunua Techno N3 kwa sababu mbili kubwa,uwezo wa kubeba laini mbili na comments...
mimi nimekua natumia simu hii kwa muda kidogo ila tatizo kubwa ni pale ninapojaribu kuweka au ku download aplication mbalimbali kutoka kwenye kampuni yao(samsung)wanaponiambia niweke au ni sign...
Wadau naomba mnisaidie hili; nimeshafanya booking ticket online kwenye website ya fastjet na nikapewa reference Id,je nikishalipia kwa Mpesa tiketi yangu naipataje(naidownload au inakuaje?)...
Lauryn Mcphillips <mlauryngirl4u@yahoo.co.uk>
Jun 12
to me
Hey ,
It's pretty nice hearing from you, hope you are doing great, however it will be nice keeping in touch...
Almost all of de ppo have been wait'g 4 de Amazing product from apple dis year...and dats is Iphone 6.
## Iphone 6 is predicted 2 take over all the Market cause of its Technology..
#### Stay updated
Wanajamvini naombeni kujuzwa hii application ya JF ambayo inaptk kwa smartphonez ni wapi naweza comment post za wana jamii na kuandika post yangu mwenyewee...!???anaejua tafdhali anijuze
Ok nw...
Douglas Engelbart, a technologist who laid out a vision of an internet decades before others, dies of kidney failure.
Engelbart showed off a cubic device with two rolling discs in 1968 - the...
Nimejaribu ku-update firmware za Zantel modem EC122 baada ya kumaliza tu imekuwa ikigoma kusoma line yoyote hata modem yenyewe imekuwa haisomi,,,,,,Msaada nifanye nn au kuna njia ya kuirestore to...
wakuu nimejaribu kurequest settngz kwny cm yang lakn naona hawanitumíi so nataka niingize manually kwaio naomba msaada wa vi2 kama apn,subnet mask na vyote ambavyo vitanisaidia kubrowse. Shukran wakuu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.