wadau nina receiver ya media com 910 + kuna mwanangu kaweka passord na sijui ni ipi kwa hyo nashindwa kutumia remote naombeni msaada wenu nini nifanye kutatua tatizo hl
jamani nisaidieni kuna mtu anataka kunitumia simu kaniambia nichague moha kati ya hizo mbili...naomba mnisaidie ipi niichague??? kwa hyo Samsung Rugby Smart I847 naogopa ktu kimoja nlishanunua...
habari gani wanaJF., ninaomba msaada wa jinsi ya ku'upgrade android os ya simu from 1.5 to 2.1 au 2.2 (froyo). natanguliza shukrani za dhati.
nilijaribu ku'upgrade automatic lakini haikuniletea...
Nina Project nafanya hapa lakini image ninazo zitengeneza sijazipenda rangi hivo nisaidieni ili kutoka kwenu niweze fanya selecion ya colors
Provide 4 images – using photoshop or anything...
Nina kama wiki nacheza game hili, kwa ufupi ni zuri sana kama wewe ni mpenzi shooter games na game ambazo unaweza kuinteract na vitu mbalimbali jaribu hili.
Inawezekana ni kawaida lakini mimi...
wataalam ni kiu ya kutaka kufaham,hivi hizi satellites,YAHSAT 12 @52'E,ASTRA 2F @ 28'E na NILESAT 201 @ 7'W,naweza kuzipata katika dish ya ft 6?maana nimesikia mipira a.k.a ndimu huko ndiyo...
wakuu sasa naleta kwenu!!
IMENISHINDA kuichakachua modem ya tiGO Huawei e303s-1 .....naomba msaada wenu sasa maana nshatumia ujuzi wangu wote na baadhi ya ujuzi kutoka google ila badoo...modem hz...
Its a sad truth but truth nevertheless. Today I was making rating based on Alexa on how much Tanzanians who surf do like to visit. Thanks to google and many other tools, I did not had to open...
ni vipi naweza kufungua ustream nataka kuwarushia live mechi za epl na la liga lakini sijui ni vipi unaweza kufungua ustream wenye kujua nambieni shukran kwa wote
msaada wakuu hii simu ilikuwa inadownload vizuri tu but tatizo limeanza baada ya kui restore sasa hivi inakubali kudownload apps peke yake vitu vingine inakataa
Habari Msomaji wa JUKWAA la Tech, Gadgets, & Science .
Leo katika uzi (THREAD) huu niamuwa kuwakutanisha watu ambayo wana similar Interests. Mimi nikiwa ni miongoni mwao.
Miongoni mwa WANAJF wa...
Nina rafiki anategemea kuniletea Tablet toka Urusi lakini nimejiuliza huenda isiifanye kazi katika mitandao ya simu ya Vodacom,Tigo au Airtel hapa Tanzania, kuna mwenye idea anishauri natanguliza...
wakuu kuna kitu inanitatiza naomba msaada wenu plz.kuna hizi gari zenye mfumo wa d4 au gdi pump zimekuwa gumzo i sana hapa kwetu tanzania kutokana na mfumo zinaotumia.hili bila kubisha nenda kwa...
Mtu ametuma na kupokea message kwa kutumia simu yangu bila ya kuigusa. Ni hivi alikuwa akiitumia simu yake kumtumia sms mtu mwingine lakini cha ajabu ikaonekana kama vile simu yangu ndiyo ilikuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.