wengi wetu ambao ni gamers kama NingaR na chief-mkwawa tumelelewa na games kama SF (street fighter), Tekken na Mortal Kombat. game developers haswa wa fighting games wamekuwa wanabana kuleta games...
heshima kwenu wakuu,kutokana na gharama za juu za ps 3cd games mwana jf mwenzenu nashindwa kumudu kununua cd game nyingi,niengependa kujuzwa wapi naweza nikapata cd za ps 3 za bei rahisi hata kama...
Ninauza Smartphone (SAMSUNG GALAXY POCKET) kwa 16K. Bado ipo kwenye good Condition. Many apps be installed. Charger, Earphones na Box lake nitakupa.
Call Me 0756851815.
Wakuu naombeni msaada nilikuwa na cd yangu yenye program mbalmbali sasa nilitaka kuicopy ghafla zikafutika zote nifanyeje ili zirudi? Natanguliza shukrani
Kuna watu wengi, kama mimi wana visimbusi vya GTV. Je, wadau hivi hakuna namna yoyote ya kuvitumia visimbusi hivi kwa mazingira na miundombinu ya ki-tanzania kwa sasa? Msaada pliz!
OpenWhatspp project
Dear Blackberry, Before you decided that OpenWhatsapp
violates WhatsApp's terms and that you
could not accept it in App World, have
you been fully aware that YOU are the...
Heshima kwenu wakuu,jana jioni kwa bahati mbaya sana niilibiwa simu yangu na kuna picha za muhimu sana,ningependa kujua kama kuna njia yoyote ambayo ninaweza nikazipata hizo picha simu yangu...
Naombeni msaada kwa yoyote mwenye uwezo wa kunirekebishia hiyo display ya hiyo simu au anielekeze ambako naweza kufanikiwa kupata
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Habari wanajukwaa!
Computer yangu ilikua imefungwa kwa password niliyokua nikiitumia kuwashia computer hiyo kwa zaidi ya mwaka sasa!
Cha kushangaza ghafla leo hii password hiyo imekataa na...
naombeni kuuliza
nini tofauti ya i phone, i pad, tablet, adroid na gadget? mambo haya yananichanganya sana, naomba mwenye uwezo wa kunifafanulia kwa kiswahili ili nielewe vizuri
jamani tunatafuta watu wanao toa huduma ya internet kwa kufuga madish kwa mashart yafuatayo
wawe na bei naafuu kama ni kwa mwezi au kwa mwaka.
huduma yao iwe nzuri isiyo na usumbufu.
iwe na...
Naomba msaada kwa anayefahamu jinsi ya kuinstall FIFA 13 for SONY Ericsson Xperia Play. Kama una duka, you will be paid ila ningeshukuru pia kama nitapata msaada.Ninazo tano, na zina Steet Fighter...
Aisee nilikuwa naomba msaada wa njia rahisi wa kupata blackmart alpha inayo function ukweli coz nyingi kwenye Google ni fake, mara azi download, cjui imecrash, mambo mengi kweli...
Kwahiyo...
msaada wadau nimenunua Nokia x2--01 mpya yenye nembo ya t-mobile cha ajabu ndani hakuna ovistore vilevile hata nikidownload haifanyikazi yaani ukitaka kufungua tu inaandika closing application...
naoembeni msaada nataka kurestore samsung galaxy ace lakin tatzo inahitaji kufuta kwanza samsung account ambayo pia inahtahtaj password ili niweze kufuta so naombeni mawazo yenu wakuu!
Ni siku zimepita tokea mmiliki wa Liberty Reserve(LR) kufungwa na kupelekea kufungwa kwa service yake
In countries where PayPal is not permeated they Adopted Perfect Money(PM)
Kama kuna mjuzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.