computer yangu aina ya acer aspire model x3900 nikiwasha inaboot poa kabisa na vijitaa vyote vinaonyesha kuashiria kua mashine iko on lakini katika screen hakuna chochote kinachoonyesha...
Most of us would agree that Internet access plays a significant role in our day-to-day lives but is it really more important than food or sleep? That apparently appears to be the case based on a...
Wadau habari zenu. Nahitaji mcbook pro yenye retina eye nchi 15, HDD iwe kuanzia 250GB RAM ianzie 2GBna kuendelea mwenye anyone interested aniPM na price,ili tuelewane.
Matatu za Kenya sasa zinatoa huduma za internate kwa abiria free. Ukipanda unatoa sim yako unaunganisha unaendele kubrowse. hii iko poa hata hapa nyumbani ikiwepo na hii folen itakuwa poa. ah,ila...
Habari wadau leo kwenye simu Yangu sijaunganisha kifurushi cha Blackberry Lakini na shangaaa na weza kutumia free kwenye Application zote Je vipi Nyie wenzangu mnaotumia BlackBerry leo Ikoje hiii???
Nina laptop yangu ya Toshiba Satellite Pro. Before ikiwa na RAM ya 1GB haikuwa na shida for files scrowing but baadae nili-upgrade mpaka RAM ya 2GB ndipo taabu ikaanza.Haina shida ktk kuwaka/files...
laptop yangu ilianza ka maskhara sasa imezidiwa, inajizma ghafla during window resume, ikifanikiwa ku resume hadi mwisho basi soon niki play music or video itajizima hapohapo, kwenye safe mode...
Habari zenu waungwana.
Napenda kujua Tz tunatumia mfumo gani wa matangazo ya tv kama PAL, NTSC etc.
Tafadhali naombeni msaada kwani kuna Smart Tv moja nataka kuchukua lakini wameniambia kuwa...
We have Fantastic news for you this Friday
Morning. Whatsapp is now available on the Full
touch Dual Sim range- Asha 305, Asha 308 and
Asha 310
WhatsApp
Habar wandugu. Kautafiti kadunchuuuuu Nlioufanya, Nimegundua kuwa Smile Communication Ndio wanaoongoza
kwa sasa hapa Bongo kwa Internet yenye Speed kali.
Nilichukua Net zaidi ya 4 na...
Nmeingiza data kwenye spss version 15.0 katika windows 7 bit 32 laptop ya DELL D610. Nkiisevu hilo file halafu nikalifungua yaani halifunguki inakuja meseji hii, the client software could not...
HABARI ZENU WAKUU NATUMAINI WOTE MU WAZIMA,NINAOMBA MSAADA WA MAWAZO KWA YEYOTE YULE ANAYEFAHAMU HAYA MAMBO YA KUNUNUA VITU ONLINE,NI KWAMA NIMENUNUA DC ADAPTER KWA AJILI YA LAPTOP YANGU KUPITIA...
Habarini za jioni wakuu.? Tafadhali naomba kwa yeyoye anayejua kuhusu ubora na matatizo ya laptop aina ya acer anijuze, maana nategemea kuimiliki hv karibuni na sina uzoefu nazo. Natanguliza shukrani.
kwa wenye utaalamu na min laptops,nimefanya installation ya windows 8 kwa kutumia flash disk,ila kuna mafail yanayoonekana kama windows old,je nikiyafuta yanaweza kuleta hatari ktk current...
Niaje wakuu, tatizo kuhusu IDM ninayotumia inahusiana na network problem (ninavyohisi) sababu natumia moderm ya voda ila naweka naweza kutumia na lain tofauti coz natumia Nokia Pc Suit kuniwezesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.