Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Wadau Habari za kwenu Urgent IBM Server..Model Systems X3550 is needed..Please call me +255 784826162
0 Reactions
0 Replies
553 Views
Wadau kwa anaye fahamu anijuze link ambayo naweza kupata bible ya kiswahili. nawsilisha
0 Reactions
23 Replies
11K Views
Nimetoka Arusha niko sehemu moja hv Inaitwa Igurusi-Mbarali Mbeya kwa shughuli za kikazi kotoka arusha nimejiunga na bando ya mwezi mzima voda,bt chakushangaza baada ya kufika kwenye huu mji ambao...
0 Reactions
1 Replies
939 Views
Nna leseni class D,je kupata class B lazima nikafanye testing upya? au ni taratibu gani nnazotakiwa kufuata? Wadau baada ya kutafutatafuta kwenye website ya TRA hatimaye nikapata ufafanuzi,naomba...
0 Reactions
9 Replies
9K Views
habari members! Nina tatizo kwenye accounti yangu ya facebook haionyesh picha nahisi kuna mahali nimeseti hovyo ila sipafahamu nimehangaika mnno hata kwakutumia device nyingine ila wapi so guys...
0 Reactions
4 Replies
702 Views
Make: Samsung. Model: hdtv un40eh5300f. Thanks for your considerations on this issue.
0 Reactions
2 Replies
981 Views
wadau laptop yangu haitoi sauti nikiangalia movie zozote zile hata za youtube ..nifanyeje?????
0 Reactions
0 Replies
695 Views
kwenye websites nyingi nimeona hichi kitu copyright © 2011, so nauliza huu mwaka una maanisha nini wataalamu wa mambo?​
1 Reactions
10 Replies
3K Views
habari zenu wana jf!!! hivi siku hizi ni kwamba matangazo ya antivirus yapo kwenye WEBSITE YA TAIFA!!! Ni kwamba wataalam hatuna au inakuaje??? embu pita hapa The Tanzania National Website swali...
2 Reactions
10 Replies
2K Views
Waungwana nimefanikiwa kudownload hii window ila imekuja na key ambayo haifanyi kazi, sasa mwenye namna ya kunikwamua hapo naombeni, au ile window 8 loader kwa specification za namna hyo, msaada...
0 Reactions
0 Replies
912 Views
Nimeshindwa Ku unlock cm yangu aina ya celkon A 85 ambayo nilikuwa nafungua kwa pattern. Baada ya m2 kuchezea. Inadai niingize account yangu ya google pamoja na password bt kila nikifanya hivyo...
0 Reactions
3 Replies
952 Views
ni namna gani unaweza set simu yako kila wakati ionekana iko bize na unaweza ifanya kwa mtu m1 tu?
0 Reactions
11 Replies
5K Views
Wakuu wote salamu zenu jamani.... Nina Camera yangu aina ya Canon imepata Mushkeli kama ifuatavyo: 1. Niki-zoom ili kupiga picha ya mbali....inatoka nyeupeeeee hakuna image ikumbukwe hapo awali...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
With an initial investment of just $27 in his flagship MiniShop app, the US Department of State awarded Eric $15,000 as winner of the Apps4Africa Climate Challenge 2011. MiniShop is a...
0 Reactions
1 Replies
986 Views
Wapi nitapata hiyo cabble na kwa bei gani
0 Reactions
13 Replies
8K Views
habari zenu,nina wazo la website,kama wewe ni web designer nipm 2fanye kazi.
1 Reactions
0 Replies
747 Views
A Basic Input/Output System (BIOS) is an electronic set of instructions that a Personal Computer (PC) uses to successfully start up. It is located on a chip on the motherboard inside of a computer...
0 Reactions
0 Replies
953 Views
1. Who is the Father of Computer ?Answer: Charles Babbage 2. Who is the Father of Computer Science ? Answer: Alan Turing 3. Who is the Father of artificial intelligence? Answer: Alan Turing 4...
1 Reactions
2 Replies
1K Views
A 29-year-old Tanzanian software developer has won over $300,000 in a landmark Information Technology innovation deal.The grant from the Financial Sector Deepening Trust (FSDT) was won by Mr Eric...
0 Reactions
0 Replies
871 Views
Wadau naomba mnijuze. Kwa sasa natumia java application. Nataka kuhama kwenda either android phone au window phone application. Naombeni kujua which is the best phone, faida na hasara ya kila...
0 Reactions
2 Replies
891 Views
Back
Top Bottom