KWA UFUPI
"Tulikuwa tunatumia gharama kubwa! Jaribu kufikiria sasa kwa kutumia tu jiwe hili la ajabu (MadiDrop) tunalitumbukiza kwenye maji na mara moja yanakuwa safi na salama kwa kunywa. Uzuri...
Nilifanya rooting kwenye hii tecno yangu yenye Os ya android,nikataka kubadili font,ikajizima na kuwaka kisha inaishia kwenye logo ya tecno na kushindwa kuendelea kuwaka,nifanyeje?
napenda kujua jamani hii kitu ni nini??? na je nnaweza kuipata toka ktk play store??? na je ina tofauti yoyote na hii app ya jamiiforums for android???
ahsanten
natumia pc aina ya HP 630 jana nimekumbana na tatizo la local disc c kujaa ghafla,yani inavyoonesha kuna mafaili yamejidublicate, kilikuwa na free space ya GB 57 out of GB 97 lakini sasa kuna free...
Za jumapili wanajamii? Ghafla chanel zote za star times zimeonekana hata kama hujalipia. Je ni kwa muda tu au ndio kuhmili ushindani wa ving'amuzi vingine?
nisaidie nikitaka kuchukua nyimbo kwenye lap top inaniandikia.'REMOVE THE WRITE-PROTECTION.nimejarib u kutoa passward but tatzo bado liko palepale inakataa kuzikopi kwenda kwenye flash.naomba...
Habari wakuu,
Nahitaji kuapdate simu yangu ya Blackbery torch 9800.
Nimeunganisha kwenye PC na ninatumia modemu ya Zantel.
Kila nikifuata hatua za kuapdate inaload na mwishowe inaleta message...
Wanajamvi naombeni msaada ni jinsi gani naweza kurestore nokia express music 5530....nimejaribu kuingiza *#7370# then nimeweka password ya 1-5 but imeshindikana inaniambia code error nikajaribu...
jamii tunashindwa tambua kuwa kuna vitu vingi kama kampuni ya goole imekuwa ikipigwa marufuku nchi nyingi kuchunguza siri za watu mpaka sasa ikiwa mshiriki na mzamini wa android.japo itakuwa siri...
habari za j2 wanajf!
Kipindi cha nyuma nilikuwa nasoma nyuzi za watu mbalimbali zinazohusu kurudisha data zilizopotea aidha kwa kudelete kwa bahati mbaya, kupotea zenyewe ama zimepotea wakati wa...
1.CONTROL CENTER AND NOTIFICATION
apple wameweka setting unazozitumia mara kwa mara katikati mbele kabisa mwa screen yako,ili upate,kupata hiyo kitu itabidi uslide kutoka chini(bottom) ya screen...
Wana jf nipeni msaada namna ya kutuma maoni kwenye Tvs kupitia facebook ama twitter maana sijui kabisa namna ya kutuma maoni.
Nitashukuru sana ndugu zangu.
Nijapo na mtu mkweli akubaliki kwao lakini katika sekta ya ulinzi katika interneti kwa tanzania haipo wazi kuku fahamisha wazi ndo maana leo tuna ona siri nyingi ziki vuja ata unacho fanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.