Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Nina Samsung S3 Like New Bei 650,000 Na T-Mobile Samsung Galaxy tab2 10.1 4G Bei 650,000.00.
1 Reactions
2 Replies
772 Views
Wadau heshima mbele !! Moja kwa moja nadondokea kwenye mada,kwa kifupi nna haka ka Galaxy s3 mini tatizo ni kwamba kananizingua siioni sehemu ku change network mfano 3G, EDGE, nk.Yaani...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu msaada tafadharini flash yangu imepata tatizo na kuandika short cut. Nikifungua inaandika hivi There was a problem starting _WB.com The specified module could not be found.
0 Reactions
4 Replies
669 Views
Kuna tatizo limetokea kwenye simu yangu wakuu, yani kila nikifungua Jamiiforums sipati picha, avatars wala kitufe cha 'like', hutokea pale nitumiapo Ucbrowser. Hili tatizo limetokea karibia mwezi...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wana jf naomba M saada Nina simu ya promotion. Mwenye maujanja
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Vodacom wansahau kwamba hii game of chance ni nafasi yao kwa kuwa wao ni provider pekee wanaoapatikana lakini wajue wao ndio wanatupa nafasi ya kujua wizi wao unatufungua macho, ubongo, masikio...
0 Reactions
2 Replies
762 Views
Htc desire sio zote ambazo zinaweza kuwa rooted sababu bado hizja tolewa so kuwen wapole vitu viakuja.stay up date with costerntine r peter on facebook
0 Reactions
0 Replies
699 Views
wap ninaweza kupata touch ya samsung i900 na ni shilling ngap
0 Reactions
0 Replies
674 Views
Plz plz msaada unlock code za samsung T anycall, ya korea
0 Reactions
6 Replies
1K Views
naombeni mnijuze jinsi ya kuitambua calculator orig ya casio fx 992s.
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Naomba msaada nina laptop ilikuja na OS Vista Home Basic, ili-corrupt nika-reinstall Vista home basic nikitumia key product iliyo bandikwa chini ya laptop yenyewe. cha ajabu inasema activate...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Naomba msaada ku unlock simu hiyo ili niweze kuitumia. Ahsanteni kwa MSAADA
0 Reactions
7 Replies
2K Views
naombeni mnijuze jinsi ya kujua calculator original ya Casio fx 992s.
0 Reactions
1 Replies
8K Views
Nikiweka modem ukikonekti tu inakata pia kanatokea kaalama usb, ukikaclick kanaleta baloon kanakwambia reset. Unafanya hivyo kisha zoezi linjirudia ukikonekti inakata tena. Nimejaribu nimeona...
0 Reactions
7 Replies
1K Views
Nimejiunga wajanja lkn net hakuna sio kwa simu wala moderm au kwangu tu hebu nisaidieni
0 Reactions
12 Replies
1K Views
Hii machine kama kuna mtu anajua inauzwa shil. ngapi please naomba feedback kwa meshackabra@yahoo.com.kwani kuna m2 anataka nunua
0 Reactions
1 Replies
797 Views
Wakuu kuna mtu nataka nimsaidie kitu ktk computer ila yuko mbali na mm How Do I Go about Regards
0 Reactions
14 Replies
1K Views
hii simu ni mpya, nikiweka line nikipga inasema NOT REGISTERED ON NETWORK, nimefanya manual configuration ya internet pia imegoma kufunguka. Msaada wenu plz tatzo ni nini?
0 Reactions
15 Replies
2K Views
hellow wanajamvi. Nina bb 8310 version 4.5. Os ambayo haisupport whatsapp mpaka ku-upgrade kwenda v.4.6. Nimejaribu kuhack downloader na naweza kudownload hiyo prog but haifunction! Ombi:kama...
0 Reactions
0 Replies
814 Views
Ndugu wa wapenzi nimeamua kurudi kutokana na watu wengi kunishauri nirudi nimekuwa mkombozi wa watu kwenye sekta ya ulinzi japo nime wa saidia sana karikoo dar es salaam maswala ya wizi.lakini...
0 Reactions
0 Replies
791 Views
Back
Top Bottom