Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Leo ni bajeti ya 2013/2014 Bajeti hii ndio itatoa mwelekeo wa serikali kwa miezi kumi na mbili ijayo lakini hata kabla haijatangaZwa tayari habari zimeshaenea kuwa mwananchi wa kawaida bd...
0 Reactions
2 Replies
792 Views
naomba mnisaidie nimenunua galaxy chat lakini sioni sehemu ya play store...nifanyaje ili niipate playstore???
0 Reactions
4 Replies
1K Views
naomben ..msaada..nataka kutumia htc..yangu..but haina sehem ya kueka lain..naomba direction niende kwa fund yup
0 Reactions
1 Replies
685 Views
nisaidien wapi mafundi wa kudli na hiz simh sisizo na sehem ya kueka cheap
0 Reactions
1 Replies
803 Views
Ni kwa ajili ya games na program za kuidit picha. Hapa ilipo sasa hivi ina capacity ya GPU 128MB. Sasa kuna baadhi ya games hazichezi. Naomba mnipe ujuzi kidogo kama inawezekana kuupgrade GPU...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wana jamvi naomba kujua uzuri na ubaya wa engine ya D-4, nina mpango wa kununua gari aina ya toyota premio ila engine yake ni hiyo d4. Hasnteni sana.
0 Reactions
3 Replies
4K Views
Naomba kujua,kama engine ya musso imekufa unaweza kuweka engine ya gari gani tofauti?
0 Reactions
1 Replies
1K Views
JUN 12 Mac Pro Mpya Yazinduliwa Kwenye WWDC Apple wamerudi na mshindo mkubwa baada ya wengi kudhani kuwa kampuni hiyo sasa imeanza kuanguka, hasa kutokana na presha wanayoipata kutoka kampuni...
1 Reactions
1 Replies
756 Views
Wadau kwa mwenye kujua simu yangu aina ya Blackberry 8120 imepata tatizo,nilikuwa nadownload miziki wakati inaload ghafla ikaanza kuwa slow na busy sign ikawa inatokea mara kwa mara na...
0 Reactions
1 Replies
975 Views
nna hp probook ,ina tatizo la kua kama inzima mwanga na kuwaka , yaani inawenge kwnye mwanga ..inakonyezakonyeza kila mara , nikafanya kama kuigonga inatulia kwa mda then inaanza tena .. nn...
0 Reactions
5 Replies
991 Views
Nilipopost mara ya kwanza kuhusu mcent, wa2 wakasema napoteza muda, lakini Leo wamenitumia bureee 10000 kwenye laini yangu ya tigo jiunge hapa. Wahi sasa!
0 Reactions
6 Replies
1K Views
habari ya leo JF members. Naomba msaada, jinsi ya kurudisha colour ya TV wakati dvd ina play. Mwanzo ilikua na rangi vzr tu. Ila nashangaa kila cd nikiweka inaonyesha black n white. Thanx in adv
0 Reactions
2 Replies
692 Views
Wanajamvi,msaada wa jinsi ya kuposti video kwenye ukurasa wa Vodacom wa Fb..tafadhali nisaidieni kwa hili. NAWASILISHA
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Samahani wanajukwaa naomba kwa yeyote yule anayeifahamu hii simu ya htc legend kiundani,bei na sehemu inakopatikana iwe mpya au used.nataka niinunue hii simu.
0 Reactions
3 Replies
955 Views
Wataalamu wa IT naomba msaada ku unlock cm yang aina ya HUAWEI Y200,MODEL U8655-1, IMEI 861895014151857. NISAIDIENI CODE JAMANI
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Window 8 inaweza kuwekwa kwenye computer yenye RAM ya 1GB
0 Reactions
0 Replies
570 Views
Naomba mwenye pc games anisaidie
0 Reactions
6 Replies
1K Views
wadau leo nilikuwa nasearch juu ya tatizo la kompyuta yangu, nikakutana na hii forum.... www.consumeractiongroup.co.uk/forum/search.php?searchid=3389663 mwanzo nilidhan nimeingia JF lakini...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Binafsi mimi ni mpenzi mkubwa wa TV zilizo chini ya IPP.Lakini pamoja na hivyo,hii Capital TV kiukweli(kwa mtazamo wangu) sijaona kama imejipanga kukidhi matarajio ya watazamaji wake. Binafsi...
0 Reactions
19 Replies
4K Views
Back
Top Bottom