Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Heshima kwenu wadau wa entertainment,, Kama mnavyojua kampuni kubwa za electronics dunian Sony na Microsoft zote zimetangaza Flagship gaming device zao zitakuwa sokoni Holiday season this year...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Kiukweli napenda kuangalia taarifa ya habari ya star tv coz iko makini si kama upuuzi wa tbc1.naomba anaejua kuchakachua anisaidie mi npo arusha nimeona kuna jamaa wanaziona hz chanel za itv na star
0 Reactions
21 Replies
12K Views
Wakuu laptop yangu ya toshiba imeanza kunizingua display yaani ukiiwasha inawaka fresh ila tatizo kwenye display hakuna mwanga kabisa so naona kwa taabu maana giza tupu. Nimejaribu option ya...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Wadau PC yangu ni Samsung, na hivi majuzi ikaanza kuniambia "copy of window is not Gebuine", sasa leo nilikuwa naactivate na setup inaitwa "Window 7 loader"... Kilichotokea baada ya kuinstall...
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Kuna mtu ka block a/c yangu ya fb. Nikajaribu ku log in inaniletea ujumbe ambao ninatakiwa kuzifahamu picha ambazo zilitagiwa kwenye wall yangu. Na mim hizo picha sizifahamu. Naomba msaada kama...
0 Reactions
0 Replies
4K Views
Wakuu naomben mwenye ufaham jins ya kuconfigure moderm iweze kuconnect anisaidie, ni moderm ya voda na kwenye window inafanya kaz vizur tu.
0 Reactions
1 Replies
722 Views
nikiopen virtual napata hiyo error msg, nikiplay wimbo haitoi sauti(hili tatizo ni kwenye virtual dj pekee nyingine zinapiga mzg fresh).
0 Reactions
0 Replies
938 Views
Wanajamii samahani kama swali hili litakuwa lilishaulizwa hapo mwanzo maana wengine ndiyo kwanza tuna mwaka tumejiunga na JF. Swali langu laleo nataka kufahamishwa kazi za hii tume ya Sayansi na...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
naomba mnishauri jamani kati ya hizi simu mbili...galaxy ace ina camera kubwa na ina flash ila chat ina only 2 mp na haina flash lakin ina internal memory kubwa. naomba kwa wataalam mnishauri...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
toka wajanja 9t iwe terminated ni mwendo wa kuhaha huku na kule, kwa aliyetumia hii bundle naomba aniambie hii unlimited yao ikoje? Au inatoa MB ngapi, isije ikawa kama utapeli wa kabaaaang!!
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Wale wapenzi wa Connectify Dispatch na Hotspot PRO, Watakuwa na Sababu nyingine ya Kufarahi tena Baada ya Kuzinduliwa Software mpya inayoaminika kuwa itakuwa kivutio cha wengi Duniani Kote...
1 Reactions
5 Replies
1K Views
Ndugu zangu nnatumia king'amuz cha dstv nna wiki nzima channel 291 TBC1 haitoi sauti je hili tatizo ni kwangu tu na kwa mwenye clue yoyote juu ya hili tatizo!
0 Reactions
7 Replies
2K Views
Hii ni kwa wadau wengi walikuwa wenye dstv lakini channel ya tbc haitoi sauti, cha kufanya ni kunterchange cable nyeupe na nyekundu. Pale kwenye nyeupe weka nyekundu na kwenye nyekundu weka...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Siku zote nimekuwa nikijiuliza kwanini bongo hatuna vitu kama hivi yaani hata kenya wanatutimulia vumbi. Inakuwaje wakenya wanakuwa wababe kwetu kila idara ilhali wataalam tunao? HD NET STREAM...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
http://live.arstechnica.com/wwdc-2013-keynote-liveblog/ Kwawale wenzangu team apple ingieni hapo mjionee vipya vijavyo kwenye Mac OSX na iOS 7 New OSX is code name Mavericks inatoka fall lakini...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
tafadhali nisaidie procedure ya kutumia picha zilizohifadhiwa ktk laptop MacBook Pro kwenda ktk Simu HTC One
0 Reactions
1 Replies
818 Views
Habar wakuu, nataka kujua ni yupi ISP mzuri kwa sasa tanzania, mwenye bei nzuri na huduma bora,ni hilo tuu..
0 Reactions
3 Replies
1K Views
poleni na shughuli za kila siku wakuu,naomba kuuliza kwa anayejua kuhusu wajanja night imeisha moja kwa moja ama kuna wanaoweza kupata access! Nawasilisha!
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Kwa wale wenye Guest house,Mahotel,Kambi na wanaohitaji kusambaziwa channel tuwasiliane kwa PM ni channel zozote uzitakazo wewe ziwe FTA au za kulipia. Bei ni nafuu sana. Aksanteni sana pia...
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom