Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
habar zenu wakuu naomba msaada external yangu aina ya transcend 500gb inakataa kusoma kwenye pc yangu inawaka tu taa lakini kwenye pc haionekani nime jaribu kwenda kwenye device manager lakini pc...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Nimejaribu asubuhi hii kujiunga na ikakubali. Mabadiliko ni kuingezeka kwa gharama toka sh 200/- hadi sh 500/- lakini muda wa matumizi ni uleule. Kwakuwa ninatoka kwenda kwenye mihangaiko...
0 Reactions
24 Replies
2K Views
nimejaribu kugoogle sijafanikiwa, naomba msaada wa link
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Nokia C3 - 100$ Nokia 5250 - 100$ Nokia E5 - 150$ Nokia E52 - 150$
0 Reactions
7 Replies
2K Views
wakuu heshima mbele niko kwenye dilemma kubwa katika kununua simu ya mkononi dilemma hiyo ni aidha kununua samsung galaxy grand duo au sony xperia p au sony xperia L (inayotumia jelly bean)...
0 Reactions
2 Replies
873 Views
wadau kwa anayefamu PIN za ku-unlock network ya sim htc T mobile (with HTC sense) naomba anisaidie, au maelezo.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Habari zenu jaman...Mimi nina simu aina ya HTC wildfire A3333, na nimejaribu kuconnect internet imekataa,ila nmekuja kugundua sina settings zake... Nitashukuru sana kwa msaada wenu..
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Wadau naomba mtu mwenye Dumps mpya za CCNA anipe link nidownload na taka kupiga paper yake
0 Reactions
0 Replies
590 Views
Window 8 inaweza kuwekwa kwenye computer yenye RAM ya 1GB ???
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Najua google ipoi ila niko speed saana wakuu, mwenye msaada wa haraka anisaidie..
0 Reactions
3 Replies
881 Views
.......
3 Reactions
10 Replies
1K Views
How Facebook 'Likes' Reveal Your Intimate Secrets Do you know that your ‘Likes’ on Facebook could expose intimate details about you as well as personality traits you might not want to share...
0 Reactions
0 Replies
736 Views
ipi simu ya ukweli kati hizi Blackberry z10, Galaxy s3, lumia 720,na sony ericksony xparece Y.
0 Reactions
2 Replies
763 Views
katika hii video sg 4 na iphone 5 zimeshindanishwa ipi inaweza kusurvive katika mazingira magumu, 1.zimewekwa katika maji kwa muda wa dakika 2 na zaidi,then zikawa recovered 2.zimefanyiwa...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Wanabodi habari zenu; Natumia line ya vodacom ktk simu yangu ila sipati internet access? nimejaribu bila mafanikio kwenda "mobile network" then "internet access point" nimejaribu kufanya...
0 Reactions
8 Replies
4K Views
Wana Tech habari zenu; nina samsung galaxy sIII nimesahau sreen lock na email (gmail), ila imeniletea option inasema "If you forget your Google sign-in details, you can enter your backup PIN to...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Wakuu nimepata tatizo kwenye facebook acount yangu, toka jana nashindwa kulog in, kila nikiingiza user name na password inastuck hapohapo lakini baada ya kuhangaika kwa sasa naweza kulog in ila...
0 Reactions
0 Replies
759 Views
Naomba mwenye Office 2010 key tafadhalini.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naomba kwa anayejua product key ya ms office 2010 anisaidie.
1 Reactions
1 Replies
736 Views
Nataka kuroot simu yangu ili niwe super user kwenye s3 yangu maana nataka edit power management sababu s3 yangu inakata sana battery haya ndio nataka uliza Je nikirooot simu yangu security ya...
0 Reactions
13 Replies
2K Views
Back
Top Bottom