waungwana hebu nielewesheni marafiki zangu wengi wanani invite katika facebook for USSD ila nikijaribu mimi huaga haikubali cjui ni network ya zantel huwa haissupport tu au ni vp alaf kwa wale...
Wakuu ninaomba msaada,natumia iPhone 3G,kila ikifika jioni inastuck mara kwa mara hadi nakosa raha,sasa sijui ndo inaelekea kufa au kunatatizo la kutatua???pia nimegundua inatokea kuanzia saa...
WAtu wamejaa kwenye uzinduzi wa Xbox one.... Naona microsoft wamefanya kazi nzuri. Kitu hiki kinakuja november au december mlimani city somewhere. Bei wameweka $499 kwa US sasa huku kwetu sijui...
Wadau naona Opera Min ni nzuri kwa matumizi lakini tattizo ni kuwa nikidowndola files unaiona inapodownload lakini ikimaliza sijui inaenda wapi.
Naomba msaada wa kiufundi.
TCRA WANAJIBU MASWALI MBALIMBALI NA KUTOA UFAFANUZI WA MAMBO MENGI PAMOJA NA HAKI ZAKO ZA MSINGI kama za visimbuzi, gharama za simu na mengineyo. Haya yote utayapata baada ya kulike page yao fb...
Wadau,
Kama wewe ni software developer, this might be of interest to you.
For more information, visit their website Masoko Challenge | A start-up competition to use ICT in service of Tanzanian...
kuna files kila nikijaribu kufungua majibu access is denied nime google na kufuata njia zote lakini nimeshidwa kufungua wadau wa it please ushauri wa njia ya ku solve hii issue !!!! Naomba...
Original Article (External link)
Samsung Goes Water Resistant With Samsung Galaxy S4 Active. Samsung one of the Android giant in market has now come up to compete with Motorola Defy and Sony...
Heshima kwenu Wakuu Jamvini!
Natumia simu aina ya Nokia E5.
Kama simu sasa simu yangu kila nijaribu kucheza video kwenye youtube inaniletea ujube huu;-
400. That's an erro.
Your client has...
habari za majukumu wana jamvi kiukweli nina tatizo hapa naombeni msaada wenu. kila nikiwasha laptop yang ina nambia activate window sasa sijui pakuanzia maana kuna muda nilijaribu kuna stage...
Nna hizo software zote mbili dreamweaver cs6 na photoshop cs5. kuna ishu moja nataka kufanya ya kutengeneza kitu kama magazine hivi..kabla ya hapo nilikuwa nikitumia sana Fireworks kwa designing...
Wadau natumia dell tower-desktop ina hard disk mbili kiila moja ina gb 40, ina ram 1.25 gb, proccesor 2.79 natumia window xp..
tatizo mara nyiingi ninapowasha inapoanza ku-load window inasizi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.