guys now nikitaka kudownload file kupitia idm napata error hii kwa browser zote
''Cannot transfer the download to IDM ERROR 0x80004002''
Nimehangaika google bila mafanikio, any1 with help...
Tanzania Communications Regulatory Authority (TCRA)
Come July 10, 2013 all unregistered SIM Cards will be phased out the National Assembly has been told.
In her supplementary question Lolensia...
Ndugu zangu naomba msaada wenu ktk chili nimedownload whatsapp kwenye play store ya android lakini nashndwa kuaccess profile picture mfano nkitaka kubadili picha na pia status. Msaada wenu wakuu...
wakuu kwa siku za karibuni nimekua nikipata shida sana kudownload video youtube na mitandao mingine kwa kutumia idm..mwanzo ilikua inafanya kazi vizuri sana ambapo nilipokua nacheza video yoyote...
Wakuu teknolojia inazidi kushika kasi, wengi wetu tumezoea kushare mafile kwa njia ya ku-uploud kwenye mitandao mbali mbali kama Mediafire 4shared kushare kwa njia hii inakulazima kutumia mda...
Nasal a desktop isiyokuwa na mgongo nyuma na CPU iliyo kama deki sitaki zile za kusimama ram kuanzia gb 1, processor Intel dual core speed from 1.7 budget 250..
wajameni baada ya kuangaika kwa muda mrefu peke yangu ,sasa naomba niwashilikishe wanajamvi wenzangu;;;NI HIVI kna magame haya ya kampuni ya gameloft hivi yanapatikana website ipi? hususan hili...
Wadau, mm ni mgeni wa python language.
Ninataka ku implement client inayotransfer ma files zaidi ya moja kwenda kwa server app, in python language.
Ningependa nitumie Stream Sockets (TCP) na sio...
Nime download dc-unlocker client ila kila nikijaribu ku unlock modem inadai kulogin pamoja na password, naombeni msaada kwa yule mwenye uzoefu nayo ili niweze kuitumia
Namna ya kuficha faili (folder) kwenye computer yako
kwenye darasa la leo nitafundisha namna ya kuficha folder kwenye komputer yako na mtu asilione kiraisi
kiraisi fwatana nami kwenye darasa la...
wana jf salaam zenu, katika pita pita kwenye net nimeshangaa kuona zuku wameongeza malipo ya mwezi kwa package zao kwa 20perc kwa kila package!!!!hii imekaaje mbona walishatoa taarifa kwamba...
I tried to use VoIP in my device and managed to make a call,it rung and received but I could not hear from the other part even the receiver did not hear from me.
Please,I need your help.
Thanks...
Habar jf members.Nawezaje kupata password za e-mail(gmail) mana najaribu kufungua account yangu inadai password entered ni wrong or your account has changed.But nahuakika na password nnazoingza...
Hii simu inatatizo la kupoteza network pia sometimes touch inazingua unaweza bonyeza icon hii ikarespond nyingine..sometimes inapiga mzigo fresh.nimejaribu kuireset lkn bado tatizo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.