Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
wana jamvi msaada tafadhali, nina s2 ambayo imeanguka na kupasuka kioo na ukiwasha huoni kitu zaidi ya mwanga kwenye button ya home. Je naweza pata display na kioo chake kwa sh.ngapi? Wapi?
0 Reactions
0 Replies
751 Views
Wadau heshima mbele !! Bila kupoteza muda niende kwenye mada moja kwa moja,naomba kujuzwa kwa mwenye uzoefu na haya magari ya mitsubishi Airtrek. Katika peruzi peruzi mtandaoni nimefanikiwa kuiona...
0 Reactions
1 Replies
825 Views
jamani msaada King'amuzi changu zile chaneli hazionekani tena tulizokua tukitafutia kwenye Manual 531 au 570 sasa hivi hamna kitu nifanye nini
0 Reactions
0 Replies
881 Views
Msaada wa kupata setting za ku access internet manually VODA na Airtel kuiwezesha simu yangu kufungua Internet
0 Reactions
5 Replies
907 Views
Wakuu naomba kufahamishwa kuhusu video call ya direct from sim contacts(bila kutumia apps kama skype, tango, viber, wechat) inapatikana katika mitandao gan tz? Na lazma kuwe na coverage ya 3G...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Naomba mwenye link aniwekee hapa nahitaji ku download ubuntu 12.04 au 12.10
1 Reactions
1 Replies
236 Views
habarini wadau je naweza kudownload application kwenye simu ya os ya android then hzo application nika zisave.kwenye sd card na cyo internal space ya sinu asanteni sna
1 Reactions
12 Replies
11K Views
If Google Drive, YouTube, chat--even productivity apps--are costing you money and productivity, it's time to give them the axe. Whether employee or employer, the fact is we are all easily...
2 Reactions
0 Replies
556 Views
Habari wanajukwaa, Kama title inavyojieleza, kama kuna mtu yoyote amekwishatumia simu hii anijuze, hasa vitu kama: Utunzaji wa charge na speed yake kwenye net, nk. Nimeangalia specifications...
0 Reactions
0 Replies
645 Views
Ukitaka kuinyima nchi maendeo, basi wanyime watu wale maarifa na ukitaka kuipa nchi maendeleo basi wape watu wake maarifa. Nchi yenye watu wenye maarifa, sio tu wataweza kutumia maarifa yao...
2 Reactions
12 Replies
1K Views
Strange Blue World: Alien Planet's True Color Revealed, a First Like Dislike...
0 Reactions
0 Replies
735 Views
Solar system has trailing tail, just like comet Like Dislike...
0 Reactions
0 Replies
843 Views
Solar system has trailing tail, just like comet Like Dislike...
0 Reactions
0 Replies
741 Views
nimeinstall driver ya usb camera then inasoma kama vile nimeconnect device.. Kuweka modem haidetect laini.. natumia antivirus ya AvG.. Na katika firewall inasoma devices n printers disabled...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Habari za asubuhi wanajavini. Mimi nahitaji STRONG SETELLITE RECEIVER ambayo ni MPG4, HD na yenye HDMi. Kwa ambaye anafahamu duka linalo uza aina hii ya receiver kwa hapa dar anielekeze. Asanteni...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Tovuti hii ya Joomla Afrika ya Mashariki imeanzishwa ili kuwapatia jukwaa la majadiliano, elimu na maarifa juu ya Joomla kwa watumiaji wake kutoka ukanda huu. Neno Joomla! limetokana na neno la...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
wadau habari, natumia simu tecno t605 kana uwezo wakuonyesha video kwa youtube tatizo inazingua haifiki mbali inakata Ingawaje mara chache inaweza kuwa fresh had mwisho,so tatizo ninini network...
0 Reactions
0 Replies
910 Views
Habari wakuu, Nimetengeneza website/blog ya kuhabaridhana kuhusu electronics hapa bongo, http://www.bongoelectronics.com naomba maoni yenu kuiimarsha. Shukrani
0 Reactions
1 Replies
793 Views
+6745593356 Hii namba imenitumia meseji ikiniuliza "What is your name?",ni namba ya nchi gani? na kama kuna uwezekano wa kutambua jina lake mnisaidie
0 Reactions
4 Replies
1K Views
wadau,sikuwepo jukwaa hili kwa muda mrefu sijui kama kuna thread yenye ninachiokihitaji but nimejaribu kuangalia thread zilizopita sijaona yenye office 2013, msaada pls mwenye nayo au link...
0 Reactions
5 Replies
862 Views
Back
Top Bottom