Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
wandugu habari, naombeni mnipe ushauri juu ya hayo magari apo juu kabla sjanunua. ushauri wenu nautegemea sana katika kutafuta gari ya kuazia maisha yaani gari yangu ya kwanza. hata kama kuna...
0 Reactions
0 Replies
667 Views
Naombeni mawazo yenu hasa kwa wale wenye uzoefu na mkoa wa Tabora. Mtandao upi ni mzuri zaidi kwa matumizi ya Internet kwa njia ya Modem kati ya Vodacom na Airtel na je, zote zina 3G huku Tabora...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Wakuu salama ? naomba msaada nimenunua simu mpya Samsung galaxy S6102 Duos, sijui namna ya ku-forward message kwenda kwa mtu mwingine, pia application zingine zaidi, mm niko Kariakoo kama pana...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Salaam Wakuu, its my hope everyone and everything is fine.. Tatizo langu wakuu kubwa linalonikabili ni kama ifuatavyo,’Natumia Windows 8 Pro kwa pc yangu sasa kuna software ilizingua nikajaribu...
0 Reactions
2 Replies
720 Views
wakubwa nilikuwa na Modem ya Zantel ambayo haitumii Line kitambo kidogo sasa nimeirudia nimesahau jinsi ya kujiunga vifurushi vyao vya Internet kumbuka Modem yangu haina Line
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Habari zenu wadau, poleni na shughuli za kila siku za kulisukuma gurudumu linalomzonga kila mmoja (maisha) Issue yangu kubwa ni kwa yeyote anaejua au kufahamu namna au jinsi ya kuJailBreak...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
psp
habari vipi ndugu zangu wa jamii fm ninawaombeni msaada wa kunijulisha memory card za psp nitazipata wapi?kwa hapa dar.kwenye momory imeandikwa (MEMORY STICK PRO DUO)
0 Reactions
1 Replies
951 Views
Heshima mbele wana jamvi !! Wadau jana nimedondosha Blackberry 9900,kama kuna mtu ana idea jinsi ya kuiblock ili mtu mwingine asiweze kuitumia please tupia maujuzi hapa. Yaani bora tukose wote !!
0 Reactions
8 Replies
996 Views
Register here and get free airtime, all network providers are supported. Hurry now!!
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Jaman naomba kuulza bei ya Nokia x2 01 ni shilling ngap kwa sasa ikiwa dukani mpya kabisaaaa
0 Reactions
4 Replies
6K Views
Nielewesheni kuhusu neno ppt kwenye cm ya nokia kazi yake ni nini?
0 Reactions
0 Replies
724 Views
I own a Nokia Asha 302, although in the specifications it is listed as able to play only mp4,wmv,h263 and h264, i have been able to play avi files from moviesmobile, does this mean that asha 302...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Identification Differences One simple way to externally identify the iPhone 4S and iPhone 4 models, as well as all other iPhone models, is by the model number printed in small type on the back...
0 Reactions
0 Replies
671 Views
Wadau, naombeni msaada wa kupata activation key ya hiyo anti virus... aksanteni.
0 Reactions
11 Replies
1K Views
.........sorry folks file was too big! :rapture:
0 Reactions
9 Replies
1K Views
Kuna hizi simu za tigo mi w100 double line upande mmoja wa line lazima utumie line ya tigo na upande wa pili unaweza tumia line yoyote, wcdma gsm. Nahitaji ku unlock ili iweze kufanya kazi ktk...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari msaada mwenye hizo code anisaidie Wana Jf ninashida nazo na nimejaribu tafuta nimekosa kama unazo nisaidie
0 Reactions
2 Replies
3K Views
hivi iphone 3gs inafaa kuwa upgraded to latest version of ios?kwa aliye try ?en if kama inafaa inasupport all apps kama iphone 4s?
0 Reactions
1 Replies
719 Views
Please, nisaidie namna ya kuondoa password ya tabulate niliyoitaja hapo juu. Nimeangaika mpaka basi!
0 Reactions
6 Replies
1K Views
Back
Top Bottom