Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
Pamoja na kuisifia sana leo imenizingua. Jana usiku niliitumia kama midem ( WI-FI) lakini leo asubuhi inagoma na inawekea betri nyekundu na asilimia 0.Nimejaribu kuchaji na kuwasha lakini bado...
0 Reactions
1 Replies
679 Views
jamani kuna utaalamu wowote naweza kuufanya ili niweze kuokoa documents zangu maana kila nikichomeka external hardrive yangu inasema the dic needs to be formatted.
0 Reactions
0 Replies
627 Views
Kampuni ya Viber Media Inc amabayo imekuwa ikitoa huduma ya kupiga simu na kutuma au kupokea ujumbe mfupi wa maandishi kwa kutumia application yao ya Viber sasa wamepiga hatua na kuamua kuzindua...
10 Reactions
44 Replies
4K Views
wakuu napenda xana kutumia IDM kushusha mizigo midogo midogo kama fonts, bushes, music n.k, but kila nikiinstall IDM na kuinset serial zake baada ya wiki chache inadai tena serial KIUKWELI I DON...
1 Reactions
11 Replies
2K Views
Wadau naomba msaada wenu nina IPOD 16GB nataka niconnect internet nifanyeje?
0 Reactions
6 Replies
958 Views
Salaam wakuu nahitaji ku-delete facebook a/c ila hii thread ilishawekwa hapa JF na chrisman jinsi ya ku-delete fb a/c akatupia na link inayokupeleka kwenye page ya "permanently delete account"...
0 Reactions
28 Replies
2K Views
Salaam wakuu nahitaji ku-delete facebook a/c ila hii thread ilishawekwa hapa JF na chrisman akatupia na link inayokupeleka kwenye page ya "permanently delete account" kwenye facebook then...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
Jamani natumai hamjambo, Kuna wimbi kubwa la vijana wa kiume limeibuka, linafanya mchezo wa kubip au kupiga namba za watu ovyo na wakikuta ni msicha basi wanaendele na usumbufu wao,watapiga iwe...
0 Reactions
10 Replies
1K Views
Wataalamu wetu naomba msaada simu yangu imeingia virus ni blackberry 9085 naomba msaaada nifanye njia gani kuwaondoa natanguliza shukrani
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wakuu habari za majukumu natumaini wote wazima,ila ambao kidogo kiafya hawapo vizuri tuwaombee kwa mungu wapone mapema, ombi langu kuu naomba mwenye kujua manual setting za internet...
0 Reactions
5 Replies
1K Views
Wataalamu naombeni msaada tafadhali kuna namba nataka kuiblock lakini nimeshindwa nina E5 na N8 zote nimeshindwa msaada tafadhali wakuu Shukrani in advance
0 Reactions
1 Replies
732 Views
Habari wanajamvi, ninaomba msaada jinsi ya kufanya usb flash iwe bootable
0 Reactions
4 Replies
977 Views
Wana JF naomba kuuliza simu ya Nokia 200 haina uwezo wa kudownload huduma ya WHATSAPP? NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU KWENU!
0 Reactions
3 Replies
703 Views
nahitaji kuupload pic but nashindwa si kwenye computer wala simu ambayo ni smartphone..msaaadaaa
0 Reactions
0 Replies
1K Views
wadau wa jf hebu nielewesheni juzi wakati na login katika facebook nimekuta msg ambazo cjazituma mimi SWALI:jee mtu anaweza kuhack account yako bila ya ku change pasword kama jawabu ni ndio hebu...
0 Reactions
19 Replies
2K Views
Wakuu, nilikua naomba kujua jinsi gani mtu unaweza kutengeneza video DVD ya collection kwa kutumia format ya DIVX au AVI ikiwa pamoja na Title na Root menu. Au kwa aliye na ufahamu wa kuweka movie...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Natumia apps ya jamii forum apa kwenye cm yangu htc wildfire lakini inakataa inasema the appication has stopped unexpectedly... nini tatizo yan sienjoy JF at ol
0 Reactions
2 Replies
671 Views
What is an IP address? Your IP address is the address that identifies your computer on a network, to any application (such as a web browser) that uses the Internet communications protocol...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
wadau wa jf hebu nielewesheni juzi baada ya ku login katika account yangu ya facebook nimekuta replay kibao baada ya kuangalia sent messege nakuta messege kibao ambazo cjazituma mimi SWALI:jee mtu...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
wakuu naomba msaada wenu lap top yangu aina ya dell inspiron n 5050 haitaki kuunga wireless internet wala kwa cable napata tabu sana kwani ofisini kuna wireless internet na cable pia inapatikana...
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Back
Top Bottom