Tech, Gadgets & Science Forum

Technology based discussions. Computer, Science & Engineering Technology including gadgets and PC Gaming Discussions
For the first time, you can connect to the coffee shop Wi-Fi and your 4G mobile device, using both Internet connections for their combined speed, and increased reliability. With Connectify...
1 Reactions
27 Replies
5K Views
msaada jamani which one is better with reasons, nataka mnisaidie coz nipo njia panda. :A S 39:
1 Reactions
29 Replies
4K Views
Wana JF wenzangu kuna mtu ameniblock kutuma friend request pia kutuma sms kwa muda wa siku 30 kwa watu ambao bado hawajawa marafiki zangu kamili ila nafahamiana nao.Nifanyaje ili niweze kuifungua...
0 Reactions
5 Replies
13K Views
Naomba msaada,uwa naboleka sana napotumia internet inatokea incoming call,napo.Jaribu kuweka incoming call barring inaniandikia kuwa nimejaribu mara nyingi password ambazo sio sahihi. Yaani "Call...
0 Reactions
0 Replies
823 Views
wadau naomba msaada wa kupta watsap application kwenye iphone kwa ambae amei download kwenye pc yake na mim cna acount ya apple ambayo ningeweza kununua! au kama una link ambayo ntaweza ku...
0 Reactions
4 Replies
1K Views
wakuu natumia HTC merge ila napata tatizo Kila nikitaka kurudi menu Huwa inaload kuwa muda kama wa dakika 5 ni nini inaweza kuwa tatizo ? if there any one amewah kutumia HTC na Kupata tatizo kama...
0 Reactions
4 Replies
702 Views
Hivi kuapload video kwenye U-tube kwa uharaka zaidi unafanyaje? Mbona mimi huwa zinachukua muda mrefu saana? Naomba msaada
0 Reactions
5 Replies
952 Views
Of all the communities available to us there is not one I would want to devote myself to, except for the society of the true searchers, which has very few living...
1 Reactions
1 Replies
794 Views
Naomba kusaidiwa nifanye nini na simu yangu maana nimestukia imegoma tu kuonesha picha na video.
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wanabodi icon za program za kwenye pc yangu zimebadilika na kuwa PDF icon, so ikufungua hiyo program au file aziugunguki zinafunguka kama PDF, Nimejaribu ku UNINSTALL PDF progms zikakarudi kawaida...
0 Reactions
1 Replies
925 Views
wadau wa jukwaa hili naombeni msaada laptop yang nikiizma inakaa muda mrefu sana kisha inazima kuna maneno inaandika window is updating please do not turn off your computer, kisha inaanza kuhesab...
0 Reactions
1 Replies
682 Views
Habari wana jamvi. Simu tajwa hapo juu, takribani wiki nzima inasumbua intaneti. Tatizo lilianza baada ya kubadili laini. Nimejarbu kucheki kwenye application, proxy; Not set, Port; Not set...
0 Reactions
5 Replies
916 Views
Ipi niichukue kati ya hizi simu mbili,mwenye uzoefu maana nilikuwa natumia simu yenye android os ™••••••••••™ nitashukuru
0 Reactions
5 Replies
871 Views
wadau wa jf hebu nielewesheni maana simu nyingi nabahatika kuliona hili neno syncronization katika simu linasaidia kwa njia gani na ina umuhimu gani?
0 Reactions
2 Replies
3K Views
jamani naomba msaada software ya kuedit picha na pia msaada cimu yangu ipo slow sana kwenye internet.natumia cm aina ya ANDROID CELKON A85
0 Reactions
4 Replies
5K Views
Ninataka kununuwa Harrier, lakini kuna mdau mwenye uzoefu kaniambia Harrier siyo gari za kununuwa. Spare zake ni adimu pia zina tatizo la ku-knock engine. Je wakuu, hizi taarfa zina ukweli wowote...
0 Reactions
9 Replies
6K Views
Helow my People Kuna katatizo haka nimekutana nako leo naka menikosesha TAKE HOME ya maana Ni computer desktop inawaka afu kwenye screen inaonyesha Black lkn ukibonyeza menu ya hiyo monitor...
0 Reactions
9 Replies
2K Views
Life companionMake your life richer, simpler, and more fun. As a real life companion, the new Samsung GALAXY S4 helps bring us closer and captures those fun moments when we are together. Each...
1 Reactions
25 Replies
5K Views
wana jforum nielewesheni ni vipi naweza kuzifanya call zinazoingia katika line kama haipatikani au simu imezimwa kuingia katika call kuingia direct katika line nyengine?
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wakuu nimenunua server nataka kuinstall server ya windows na ubuntu zifanye kazi kwa wakati mmoja kwa kutumia vmware. nataka windows kwaajili ya application za kawaida na ubuntu kwaajili ya kuhost...
0 Reactions
4 Replies
926 Views
Back
Top Bottom