Sms hii nimepokea kwa simu yangu muda si mrefu na nimeshindwa kuielewa
From +353879501580
Your Mobile# have won 500.000.00 GBP in the Coca Cola Promo. Email Your Full Names,Address & cell# to...
Kuna mtu anataka kuniuzia mashine za HUAWEI za internet za wireless.Nikitambua kuwa ushauri wako utatokana na jinsi unavyouifahamu na matumizi yake na bei yake ikiwa mpya
MSAADA WENU
nitakuwa na mpa madili ya kutengenez printer mara kwa mara japo siyo kila wakat, kwan kulingana na kaz zangu nakutana na watu wanashida na printer na nakuwa sina mtu.
Call me chap. 0715812160...
Wakuu nahitaji kurecover mafaili yangu ambayo naona kwenye external driver yapo ila nikifungua siyaoni. Niliingia kwenye kompyuta ya mtu nikabeba virusi hadi basi. Nayahitaji mno hayo mafaili wadau
Nilikuwa natumia laptop yangu lakini ghafla sreen ikabadili langi na kuanza kun'gaa sana na kutetemeka,inatoa mwanga mkali sana,napata shida sana kuitumia kwa sababu inumiza sana macho.laptop...
Heshima kwenu wakuu!
Nahitaji details za simu za bei rahisi (100k - 200k) ambazo zina uwezo wa kurekodi mazungumzo ya mtu pale unapompigia au anapokupigia.
Naomba msaada wenu wa haraka.
Ahsanteni
Hi,
Here is the Video demo of Hosanna Studio, the PHP IDE that is will be released later.
Sorry video is not that good b'se Youtube won't accept my HQ videos. I will try to make HQ video within...
Je hii device kwa Dar es salaam nitapata duka gani.
Na je ni tsh ngapi?. Msaada Tafadhali nahitaji kwa haraka.
Mrejesho: (24 May 2013 )
Nimefanikiwa kuipata hii device Amazon kindle Paperwhite...
Nimekuwa nikufuatilia sana habari za teknolojia kupitia website tofauti tofauti kama www.pcworld.com Nimeona OS nyingi kama Android Os, Windows Phone 8 OS, Firefox OS, Symbian OS, iOS na nyingine...
Wadau natumia Blackberry 8520 na nimekuwa nikitumia app ya Jamii Forum kwa muda mrefu bila matatizo yeyote ila ni kama wiki sasa inagoma kabisa, nimejaribu kuitoa na kuidownload tena lakini mambo...
Natumia hii cmu na kwa sasa cna hela ya kununua cmu nyingine,naomba msaada juu ya application ambazo zinakubali kwenye hii phone,opera teyari ninayo natumia ku browse pia nawezaje weka whatsapp...
Ni Amplifire za kurushia picha kwenye
cable. Nilishawahi andika hapa kuna
baadhi wakanishauli nitumie faiba
kuwaomba ufafanuzi zaidi kuhusu hiyo
faiba wakaingia mitini. Njia
nnayoielewa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.