Nna printer ya Epson Stylus SX525WD.
nikiiwasha inaandika (Printer error. Turn power off and then on again. For detail see your documentation). Nimejaribu kuizima lakini wapi naomba msaada kwa...
habari za mdaa huu wana jf?
Mimi nimenunua simu aina ya iphone 4s 64gb lakin kinacho nishangaza nikitaka kufungua mfano skype ambayo application yake tiari ipo humo inasema there is no enough...
WAkuu msaada namna ya kufungua simu ya I Phone 4 ni mpya ,maana nimejaribu kuuliza kwa mafundi gharama wanayotoza ni kubwa sana kama kuna mwenye msaada please naomba kusaidiwa
Wadau, kwa aliye wahi kutumia hizi wire-less mouse naomba anijuze uimara wake maana kuna sister hapa chuo anaziuza zinaitwa Gmax kwa sh 15000 so sijawaha sure sana zinaweza kudumu kwa mda gani.
Habari wana Jamii. Ninahitaji mtaalamu/mwalimu/mkufunzi anayejua Quickbooks (of course anayejua accounting pia) anifundishe kwa wiki moja. Mafunzo haya yataambatana na kurekebisha posting za nyuma...
Simu: Samsung Galaxy Note
Model: GT N7000
Android ver 4.1.2
Tatizo: Baada ya kuifanyia restore kama mwezi mmoja ulopita siwezi ku-access mobile data pale napotaka kutumia Google apps and...
Hebu kama una ticket ya basi la kijani na umeshaingia ndani umekaa kwenye seat jaribu kama unataka kufungua vioo kwa kubinya hizi button *149*15# umeona nini?
wakuu,
Msaada tafadhali, nimepoteza cable kwa ajili ya digital camera yangu aina ya sony na siwezi kucharge battery (internal) tena. Nimejaribu kugoogle jina la cable yenyewe nimegundua inaitwa...
nimejaribu ku download New PC suit studio na kies jili ya kukonect na copyuter lakini zote zinaniambia phone is not recognized or registered , msaada kwa utatuzi ua link ya softwere inayo faa.
Heshima kwenu Wanajamvi!
1.Ndugu zangu naomba kujua simu za android ndio zenye mfumo upi au ni simu zipi?
2.Na zingine nasikia symbian.
3.Simu yangu ni Nokia E5 ni mfumo upi?
Samahan wakuu,Natumaini mu wazima wa afya, nimejisahau nika activate window, sasa mda wote laptop ni black screened with the message Build 7600 this window is not genuine, nimejaribu activation...
wanajukwaa hili na wataalamu wa haya makitu @c6, Young_master, MziziMkavu na wengine nijuzeni jamani mbona mie laptop yangu haiconnect jf???
mwenzenu siko RIS ila kila nikitaka kuconnect naambiwa...
Heshima zenu wakuu.
Simu yangu aina ya NOKIA ASHA 305, imekataa kabisa kuconect kwenye internet, Yaani si Email, Internet, Games (Store), Facebook, Chats.....yeyote mwenye msaada nitashukuru sana.
If you set up your PC to dual boot between Windows 7 and Windows 8, but have decided to end the experiment and go back to using Windows 7 full time, we have good news. Its incredibly easy to...
Heshima kwenu wanajamvi!
Kuna huduma ifahamikayo Dstv mobile kwa wale watumia wa voda hususani wale wenye simu za 3G
Kuna channels kama 15 hivi ikiwemo Tbc1
Lakini la kushngaza na kusikitisha...
Khabari zenu ndugu wanajamvi! Nimedownload game ya fifa 2013 yenye ukubwa wa GB 6 nimeliextract limekuja kama image na ukitaka ku run linataka uliban kwenye cd. So, mwenye maujanja ya ku run hii...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.